Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
Mbona naona kama yule Dada ndo kajichafua nae!!
Dada smart nje, huko ndani sasa unadhani getho la mvuta bangi
Huyu kijana anaish kwa kuzamia chumvi za wanawake hajiwezi wala hana life uuuh sasa kila siku unalamba uchi mpya ili ulinde ustar si maradhi haya kwan huko kwenye radio stations sjui tv hawalipwi pesa!?? Kumbafu efm fukuza huyu ma.la.ya akaendelee kutembeza bakora mwanza
....Hill Park nina mda kdg cjapita..siku nikja nitakushtuaMie mzima wewe je?!?.. napita Hill park leo
Ila hajambo huyo kaka pale ni imemaliza kazi imetulia...ikipandisha inaonekana hatari.
Wanayoiita kibamia ni kumtukana tu hawajui ukweli hawajawahi ona steji zake....wengi wao uona inapikuja ingia no mapenzi ya kuchezea kwanza .... Lol
Nikupe no ya edzen nn binamu??
Ulikuwa wapi binamu? Uliniudhi ujue? Halafu unasafir na lolowapi wakat unajua fika Mimi Na yeye ni kama paka na panya ntakugaya ujuee?? Shauri yako ooooh!!!
Yaan mie nisafiri na huyo mbeba pochi nimekosa nini mie ,anajipendekeza tu kwangu,mi nawe mpaka kiama
Huyo kijana wala hajadhalilishwa,huyo mwanamke aliyepost ndiye amejidhalilisha! Kwa mtazamo wangu lakini!
Nilitaka kushangaa binamu yangu kwenda USA ndo bas tena kanipotezea na umbea hatak tena? Yani ningekulaani na si unajua laana yetu sie wambea inavyokuwa Kali??
Binam niende Us umbea nimuachie nani mi hapahapa vumbini kuna kona nyingi za udaku,majungu,unafiki na ugomvi huko Us ntaupatia wapi umbea kila mtu yupo busy aku!!! Hiyo laana aipate lolowapi nimeridhia