Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba tusipotetea ubingwa ina maana mwakani hatuendi kimataifa,walidharau mechi pumbavuuuu zaoLigi kuu kwa sasa tuna hatihati kutetea ubingwa au kukosa, bado kocha anachukulia poa mechi aina ile.
Wachezaji wa kitanzania ndiyo maana hayaendelei (yakikosa nafasi yananyenyua midomo kama chetezo, yakipewa yanakata viuno)
Wajinga sana wachezaji wote waliopewa nafasi ya kucheza na kushindwa kuamua matokeo.Simba tusipotetea ubingwa ina maana mwakani hatuendi kimataifa,walidharau mechi pumbavuuuu zao
tutacheza champions league kama mabingwa watetezi
Tulia sindano imwage dawaGoli la mwisho jana lililopolita kwenye tobo anaonekana hana kiwango,au kahongwa na mahasimu wetu.
Sijawahi kumwamini mchaga,huyu dida afukuzwe kabisa shame on him.
Halafu huyu beki mpya nywele rangi ya pilau naye hamna kitu
Wanarudi Matopeni na mchangani walipozoeaKikosi kipana......!!
Mwakani mnarudi mlikotoka.
Kwenye ubingwa Simba nimeiondoa japo inauma sana. Hawana consistency, wanachoka haraka na hawana stamina.Ligi kuu kwa sasa tuna hatihati kutetea ubingwa au kukosa, bado kocha anachukulia poa mechi aina ile.
Wachezaji wa kitanzania ndiyo maana hayaendelei (yakikosa nafasi yananyenyua midomo kama chetezo, yakipewa yanakata viuno)
Kunywa shujaa kushusha povuHuyu dida sijui Duda anatakiwa apelekwe Kwa mkopo yanga Kwa nguvu akapigweee miayo, shenzi zake analipwa hela nzuri, alafu anadaka utadhani mhaya anadaka senene???
Au apelekwe Kwa mkopo huko mashujaa fc ya kigoma!
Au hawalipwa mishahara?Wajinga sana wachezaji wote waliopewa nafasi ya kucheza na kushindwa kuamua matokeo.
Udakaji wa Dida wa kipumbavu sana sijui alikuwa na mgomo kutokwenda Moshi sikukuu!
Kunywa shujaa kushusha povuView attachment 979227
rangi ya pilau aka biryani....haha haaaa...........hasira hizo.Goli la mwisho jana lililopolita kwenye tobo anaonekana hana kiwango,au kahongwa na mahasimu wetu.
Sijawahi kumwamini mchaga,huyu dida afukuzwe kabisa shame on him.
Halafu huyu beki mpya nywele rangi ya pilau naye hamna kitu