ROBERT MICHAEL uko wapi binamu? queen of sheba, Princess sayuni, MamaKibunju, Mrembo by Nature, geniveros, amu, ram, kim nana, Madame B, lusungo, Ruttashobolwa, TATIANA, mamaafacebook leo nimewamisi sana aiseh, salamu ziwafikie popote mlipo
Jama mbona anatisha hvi hyu mwanamke?????? Et hapo madai yake ana 20's?????? My foot!!!
Nikasema binamu yangu tena vp au siku izi ndo kashaacha umbea, maana sio ukimya huu hadi mnanivunja moyo cha umbea wenu
mwenzetu ashasema ana nyota ya kalmati
Anajishaua tuu huyo Dinaa, anakudekea...Kila mtu anajua nyie ni kama mti na kivuli...saa ushawahi kuona wapi kivuli bila mti?
Mith u too binamu...
Hapa nilipitwaROBERT MICHAEL uko wapi binamu? queen of sheba, Princess sayuni, MamaKibunju, Mrembo by Nature, geniveros, amu, ram, kim nana, Madame B, lusungo, Ruttashobolwa, TATIANA, mamaafacebook leo nimewamisi sana aiseh, salamu ziwafikie popote mlipo