TANZIA Dida Shaibu, mtangazaji wa Wasafi FM afariki Dunia

TANZIA Dida Shaibu, mtangazaji wa Wasafi FM afariki Dunia

apumzike kwa amani..!🙏
IMG-20241004-WA0038.jpg
 
Tupe records, ana ndo ngapi hadi sasa.

Mm kama sikosei namkumbuka kwa vitu vikuu 3
1. Alikuwa clouds hapo kabla.

2. Alikuwa anahusika na kuwaunganisha Dotto Magari ahuxumkechepuko wake waliozaa nae mtoto, Dotto alikuwa hatak kuhudumia

3. Aliingia bifu na mdada fulani nimemsahau wanalingishiana kwamba mm nina hiki na kile ww huna.


Sio dida wa mchops huyu kweli enzi hizo
R.I.P
 
Back
Top Bottom