duhAlikuwa na mdomo sana na kubadilisha wanaume tena kwa ndoa kila msimu ,Mungu amhifandhi mahara alipojiandalia
USSR
Sema alikua na hobby ya kuolewa kila anapojisikia na kuachika kila anapojisikiaWow!
Alikuwa anapenda sana kuolewa.
Mnatuchanganya,ni mtangazaji au mwimbaji wa taarabu?Tasnia ya taarab imepata pigo
Kipa wa yanga wa zamani deogratius munishi didaAlikua mtangazaji au?