TANZIA Dida Shaibu, mtangazaji wa Wasafi FM afariki Dunia

Tupe records, ana ndo ngapi hadi sasa.

Mm kama sikosei namkumbuka kwa vitu vikuu 3
1. Alikuwa clouds hapo kabla.

2. Alikuwa anahusika na kuwaunganisha Dotto Magari ahuxumkechepuko wake waliozaa nae mtoto, Dotto alikuwa hatak kuhudumia

3. Aliingia bifu na mdada fulani nimemsahau wanalingishiana kwamba mm nina hiki na kile ww huna.


Sio dida wa mchops huyu kweli enzi hizo
R.I.P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…