Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi kuna mapunga wengi kama ninyi mujahidin, si mnasema kila opening kwenye mwili ni sunah, sisi wenzenu ushoga ni dhambi, ninyi ni suna.
Oh my God!Peoples have a lot of things to say about you but you have to die first
Premature!
Ndoa za kutosha???Mwendo kaumaliza na uke wake kautendea haki kwa ndoa za kutosha.
Apumzike kwa amani.
Noma sana!Mchumba umepata, anza shamrashamra za kunivisha pete mchuchu mimi 😊.
Halafu tuwe tunaachana kila baada ya mwaka halafu tunarudiana kuoana tena tuweke rekodi yetu...☺.
Sharti hakuna kuchepuka, tukitaka kuchepuka tuchepuke kwetu sisi sisi, yaani uchepuke na mimi na mimi nachepuka na wewe halafu tunafumaniana tunaachana halafu tunarudiana tena....😁😁😁😁
Kama hujaelewa wewe ni manangumene nkunyole....😆😆😆😆.
Mdomo wake ndio uliompa maisha mkuu! Ndio ulimfanya apendwe Sana na kufwatilia na watu wa uswahili. ...Alivyokuwa akichamba na kidomo chake kana kwamba duh
Haya akachambane na shetty huko kuzimu
1984Kazaliwa 1982
Sawa kabisa ndugu. imekuwa kaugua muda mrefu, kaugua muda mrefu. Kila MTU ana safari yake. Tuombeane tu.Kuugua mbali sana, kuna ajali zinamaliza watu wazima kabisa
Dida Shaibu alikuwa mtangazaji maarufu wa Wasafi FM, kituo cha redio kinachomilikiwa na msanii Diamond Platnumz. Alianza kazi ya utangazaji Times FM kabla ya kujiunga na Wasafi FM, ambako alifanikiwa kujizolea mashabiki wengi kutokana na umahiri wake katika uwasilishaji wa vipindi. Dida aliongoza vipindi kama Mashamsham, ambacho kilipendwa na wasikilizaji kutokana na mazungumzo ya burudani na mitindo ya maisha.Haraka sana unaweza leta taarifa kamili
Jina kamili
Wasifu
Chanzo Cha kifo
N.k
Anyway R.I.P
Watu wanakufa kila siku na hata hawana huo ugonjwa. Na kuna wengi wanatumia hizo dawa wana miaka zaidi ya 30 wandunda tu. Na mna uhakika gani kama ana huo ugonjwa?sasa yule dogo alipigwagwa naye picha akiwa anaoga utupu, yule dogolasi alikuwa mtangazaji, itakuwaje kama ndio kulikuwa na pipi tena. ndugu kuweni makini haya maisha Mungu ametupatia tuyatunze.
Wengi wanakua na maambukizi mapya ndo maana wanakua na maisha mafupiKumbe hata ukifatisha dawa ni shida tu, mungu atulinde na awafanyie wepesi wenye maradhi hayo
Hahaaah, yeye labda ni Dr. La sivyo na yeye ni mgonjwaKwahiyo na wewe ni mgonjwa muda mrefu? Coz na yeye pia alikua anakutana na wewe huko hospital fulani.
Nauliza tu.
Ndo hvoAu sio.
Sio wote. Nimefanya kazi kwenye mambo hayo kwa muda mrefu na kuna watu wanaishi miaka zaidi ya 30 wakiwa wanatumia hizo dawa.Tatizo la mashudu yakifikia ukomo unakata moto gafla, mgonjwa anayetumia mashudu haugui akateseka, anakata moto kama mtu wa presha