TANZIA Dida Shaibu, mtangazaji wa Wasafi FM afariki Dunia

TANZIA Dida Shaibu, mtangazaji wa Wasafi FM afariki Dunia

Hadi nawaza inawezekana hizi ndoa kufa kufa labda waume baadae walikua wanagundua hii kitu....

Make unawaza sa mtu ndoa miezi tu inakufa kisa nini sasa.

Dah yule kijana mwenye body la chuma yule 🤦

Huwa tunapima kwa macho ,tukiona haga na inye gwede gwede ,kifuani saa sita ,uso soft usio chunusi ,natural color chotara ,mng'avu nga'vu maji ya kunde ,rangi ya mtume HD ,wezere GB za kutosha tunaamini kwamba yupo fresh unatembea na RIM ,kisiwa DRY Chama ,unauza mechi.
 
Uganda waliweza kupunguza gridi kwa kiwango kikubwa kwasababu walikuwa wanaweka wazi chanzo cha kifo ,huku kwetu ni ugonjwa wa moyo na kifua ,hili tuliliona sana enzi hizo na bado linaendelea.

Kuna wapumbavu hapo juu wanahoji eti "ULIWAPIMA?"..

Yani watz tuna unafiki sana, watu kutaja ugonjwa aliokufa nao mtu wanaona kama unamkejeli marehemu wakati hiyo inaweza kuwasaidia wengine wasije wakatumbukia kwenye huo mkondo.
 
Maisha mafupi sana kuna uzi humu nliwahi kusoma kwamba kila wiki alikua anaenda moro kwa mtaalam waka describe kabisa harrier anayotumia kwamba lazima uione morogoro road kila weekend, walozi tubieni kifo hakipigi hodi.

R.I.P
 
R.i.p dida
Waislam sasa mtwambie,

Mwanamke nae akijutunza Sana duniani akaishi maisha ya ndoa kadha wa kadha swafi kabisa bila kuzini na mtu

Kule mbinguni atazawadiwa Nini!
Nadhani huyo mwanamke ndiye atakuwa mmoja kati ya zile bikra 70. Kuwa mmoja kati ya hao 70 ndio zawadi yake Mkuu.
 
Nimeliaa sanaa, baada ya kupata taarifa hii saa 1 iliyopita.
Didaa ameniumaa mnooo. [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Acha unafiki. Sasa kama umelia unatuandikia hapa ili iwaje? Si ungetuwekea audio tusikia kama ulilia kwel kama hata saut ya kulia yenyewe unayo, au ulikua unakoroma tu kama radio ya mkulima imeisha betri
 
Hivi wanavyosema maambukizi mapya unataka kusema kwamba bacteria/virus vinakuwa na version nyingi nyingi? Kwa mfano mimi nikiwa na GRID na mwingie akiwa na GRID tukipima kila mtu atakuwa na version yake ya GRID?
Mkuu kuna species nyiing sana za hawa viumbe. Ukiwa kwenye grid na ukaanza kutumia dozi huwa wadudu wanakua neutralized harakati zao kwenye mfumo wa damu, sasa ikiishaonje tena ukaingiza wengine maana yake unaanzisha harakat mpyaaaaa hapo gaza kama za hezobollah , wakat hamas walishatulizwa so Israel hakuachi hakyanani kaz inaanza upya, mtifuano kwenda mbele lazima ukate moto
 
Mkuu kuna species nyiing sana za hawa viumbe. Ukiwa kwenye grid na ukaanza kutumia dozi huwa wadudu wanakua neutralized harakati zao kwenye mfumo wa damu, sasa ikiishaonje tena ukaingiza wengine maana yake unaanzisha harakat mpyaaaaa hapo gaza kama za hezobollah , wakat hamas walishatulizwa so Israel hakuachi hakyanani kaz inaanza upya, mtifuano kwenda mbele lazima ukate moto
Ohh ,thanks for the clarification ,i gotchu.
 
Apumzike kwa amani Kifo ni fumbo mwenyezi Mungu ampunguzie adhabu ya kaburi nenda salama jirani yangu kutoka kigamboni na mbweni hapo. Allah amuweke mahala pema peponi Dida. 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Sasa kwanini msiba upo kwa mama ake?
 
Back
Top Bottom