Suhendra
JF-Expert Member
- Nov 25, 2023
- 1,625
- 3,307
Kama huna HIV kwa kujilinda ni kuacha zinaa na pia kama umeathirika acha zinaa ili kupunguza mambukizi mapyaKupona au ku survive na ARVS???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama huna HIV kwa kujilinda ni kuacha zinaa na pia kama umeathirika acha zinaa ili kupunguza mambukizi mapyaKupona au ku survive na ARVS???
Hulka, kuna baadhi ya watu wanapenda kuwa mabibi kharusi kila uchwaoSa muacho wa kila siku ilikua nini.....
Acha kuimba kwenye misiba ya watuBwana Alitoa,
Bwana Ametwaa,
Jina lake litukuzwe....!!!
Ni sawa ila kwa case ya marehem inayozungumziwa hapa haihusu kupona ni ku survive na hiv kwa kuepuka maambukiz mapyaKama huna HIV kwa kujilinda ni kuacha zinaa na pia kama umeathirika acha zinaa ili kupunguza mambukizi mapya
Hadi nawaza inawezekana hizi ndoa kufa kufa labda waume baadae walikua wanagundua hii kitu....
Make unawaza sa mtu ndoa miezi tu inakufa kisa nini sasa.
Dah yule kijana mwenye body la chuma yule 🤦
Kuna wapumbavu hapo juu wanahoji eti "ULIWAPIMA?"..Uganda waliweza kupunguza gridi kwa kiwango kikubwa kwasababu walikuwa wanaweka wazi chanzo cha kifo ,huku kwetu ni ugonjwa wa moyo na kifua ,hili tuliliona sana enzi hizo na bado linaendelea.
Ugonjwa wa kifua na Moyo waongoza kuua wasanii wetu
Umofia kwenu wana JF, Heri ya mwaka mpya bonna annee happy nu year, kwanza niwape pole familia zilizoondokewa na wapendwa wao, ukiacha ngada na ajali basi kifua na moyo ni magonjwa yanayoongoza kuua wasanii wetu hapa nchini, wasanii waliotutoka chanzo kikiwa hayo magonjwa ni YP, Sherry Magali...www.jamiiforums.com
Nadhani huyo mwanamke ndiye atakuwa mmoja kati ya zile bikra 70. Kuwa mmoja kati ya hao 70 ndio zawadi yake Mkuu.R.i.p dida
Waislam sasa mtwambie,
Mwanamke nae akijutunza Sana duniani akaishi maisha ya ndoa kadha wa kadha swafi kabisa bila kuzini na mtu
Kule mbinguni atazawadiwa Nini!
Dah umemchekesha 😂😂Huwa tunapima kwa macho ,tukiona haga na inye gwede gwede ,kifuani saa sita ,uso soft usio chunusi ,natural color chotara ,mng'avu nga'vu maji ya kunde ,rangi ya mtume HD ,wezere GB za kutosha tunaamini kwamba yupo fresh unatembea na RIM ,kisiwa DRY Chama ,unauza mechi.
NdioHivi wanavyosema maambukizi mapya unataka kusema kwamba bacteria/virus vinakuwa na version nyingi nyingi? Kwa mfano mimi nikiwa na GRID na mwingie akiwa na GRID tukipima kila mtu atakuwa na version yake ya GRID?
Hmmm! AiseeNadhani alikuwa mgonjwa mda mrefu si chini ya mara nne au tatu nilikutana nae hospital fulani.
Acha unafiki. Sasa kama umelia unatuandikia hapa ili iwaje? Si ungetuwekea audio tusikia kama ulilia kwel kama hata saut ya kulia yenyewe unayo, au ulikua unakoroma tu kama radio ya mkulima imeisha betriNimeliaa sanaa, baada ya kupata taarifa hii saa 1 iliyopita.
Didaa ameniumaa mnooo. [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Mkuu kuna species nyiing sana za hawa viumbe. Ukiwa kwenye grid na ukaanza kutumia dozi huwa wadudu wanakua neutralized harakati zao kwenye mfumo wa damu, sasa ikiishaonje tena ukaingiza wengine maana yake unaanzisha harakat mpyaaaaa hapo gaza kama za hezobollah , wakat hamas walishatulizwa so Israel hakuachi hakyanani kaz inaanza upya, mtifuano kwenda mbele lazima ukate motoHivi wanavyosema maambukizi mapya unataka kusema kwamba bacteria/virus vinakuwa na version nyingi nyingi? Kwa mfano mimi nikiwa na GRID na mwingie akiwa na GRID tukipima kila mtu atakuwa na version yake ya GRID?
Huyu yeye anaenda moja kwa moja room ya Nasrallah yule wa Hezbollah!.Nadhani huyo mwanamke ndiye atakuwa mmoja kati ya zile bikra 70. Kuwa mmoja kati ya hao 70 ndio zawadi yake Mkuu.
The best comment everTaarifa ngumu sana , ila yote ya yote shukrani kwa mwenyezi Mungu kwa zawadi ya maisha yake, ajaliwe kukutana Mungu muumba wake pasi na shari.
Ohh ,thanks for the clarification ,i gotchu.Mkuu kuna species nyiing sana za hawa viumbe. Ukiwa kwenye grid na ukaanza kutumia dozi huwa wadudu wanakua neutralized harakati zao kwenye mfumo wa damu, sasa ikiishaonje tena ukaingiza wengine maana yake unaanzisha harakat mpyaaaaa hapo gaza kama za hezobollah , wakat hamas walishatulizwa so Israel hakuachi hakyanani kaz inaanza upya, mtifuano kwenda mbele lazima ukate moto
Hapo hadaiwi labda huko mbinguni na Mungu wake...Mwendo kaumaliza na uke wake kautendea haki kwa ndoa za kutosha.
Apumzike kwa amani.
Sasa kwanini msiba upo kwa mama ake?Apumzike kwa amani Kifo ni fumbo mwenyezi Mungu ampunguzie adhabu ya kaburi nenda salama jirani yangu kutoka kigamboni na mbweni hapo. Allah amuweke mahala pema peponi Dida. 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Yupo na wakina mama mpk sasa...LOKOLE kwenye Msiba ataenda makaburini au atabaki na wakinamama.