Mpigania uhuru wa pili
JF-Expert Member
- Apr 12, 2023
- 3,380
- 6,376
Unakufa unaacha legacy ipiSaula la muda tu , kila mtu atalamba vumbi halafu watu wanakusahau ..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakufa unaacha legacy ipiSaula la muda tu , kila mtu atalamba vumbi halafu watu wanakusahau ..
legacy inasaidia nn?Unakufa unaacha legacy ipi
Kwa hiyo hii ndio cv yake?Dida Shaibu alikuwa mtangazaji maarufu wa Wasafi FM, kituo cha redio kinachomilikiwa na msanii Diamond Platnumz. Alianza kazi ya utangazaji Times FM kabla ya kujiunga na Wasafi FM, ambako alifanikiwa kujizolea mashabiki wengi kutokana na umahiri wake katika uwasilishaji wa vipindi. Dida aliongoza vipindi kama Mashamsham, ambacho kilipendwa na wasikilizaji kutokana na mazungumzo ya burudani na mitindo ya maisha.
Zaidi ya taaluma yake ya utangazaji, maisha yake binafsi yalivuta hisia za watu wengi. Dida aliwahi kufunga ndoa mara kadhaa, ikiwa ni pamoja na ndoa yake na Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Omary Kumbilamoto, ambayo ilivunjika mwaka 2021. Licha ya changamoto hizo, Dida aliendelea kuwa na msimamo thabiti katika maisha yake ya kitaaluma na kijamii.
Kazi ya Dida katika vyombo vya habari ilimfanya awe mmoja wa watangazaji maarufu nchini Tanzania, akiheshimika kwa sauti yake ya kipekee na uwezo wa kuunganisha hadhira mbalimbali.
R.I.P
Huyo mtume mohamed unayemuamini si kwa sababu ya legacy yakelegacy inasaidia nn?
Aliwahi kuimba wimbo gani wa taarabu??Tasnia ya taarab imepata pigo
Hiyo ni wewe tu utakavyoichukulia, ukiiangalia vizuri inaweza kuwa hata barua ya posa.Kwa hiyo hii ndio cv yake?
SawaHiyo ni wewe tu utakavyoichukulia, ukiiangalia vizuri inaweza kuwa hata barua ya posa.
Asante..... ni vile tu watu wanachukulia poa, nadhani kuna namna usipokata dawa hata kama unaishi hovyo havifumuki kivile.Expert kabisa kazi nzuri endelea kuhudumia watu mkuu👏👏👏👏
Usitufokee, 😅😅😅Endeleeni kwenda kwa mparange tu kifo kipo
Yes, zilikuwepo. Za bure ndio zilianza kupatikana baadaeMbona zilikuwepo kabisa tena walianza kwa kuzipata Nairobi (matajiri) Kisha ndio zikaja tz late 90s
Hii inafanya kazi kama pia uta change lifestyle kuanzia kula, kupumzika na kujiepusha au kuacha relationships zisizokuwa na kichwa wala miguu.Sio wote. Nimefanya kazi kwenye mambo hayo kwa muda mrefu na kuna watu wanaishi miaka zaidi ya 30 wakiwa wanatumia hizo dawa. Tatizo kubwa ni kuupuuza ushauri wa daktari.
Kifo kikitaka kuja kina njia zake , haijalishi unaumwa au la.
Vipaji hivyo utavikuta Dar tu!!Mwanamke alikuwa ana kipaji cha kuongea aisee. Kwenye vipindi vya umbea hakuwa na mpinzani
Kwenye kipindi cha umbea hamna wa kuziba pengo lake usafini
Kuna watu nawafahamu toka kitambo wanatumia dawa. Wako fit kabisa.Asante..... ni vile tu watu wanachukulia poa, nadhani kuna namna usipokata dawa hata kama unaishi hovyo havifumuki kivile.
Sababu kuna mzee ni mtu wa vyombo sana, hazingatii healthy living kiviile coz hana mke ila DAWA YUPO MAKINI SANA, ana private doctor na regimen tofauti nadhani
Kaanza kunywa late 2000s kabla ya 2010 ila anadunda tu, though magonjwa madogo madogo kawaida hayamuishi ila HAJAWAHI UMWA KIASI CHA KULAZWA since then
Kabisa. Hata magonjwa mengine sugu ni hivyo hivyo.Hii inafanya kazi kama pia uta change lifestyle kuanzia kula, kupumzika na kujiepusha au kuacha relationships zisizokuwa na kichwa wala miguu.
Sasa huyo akiongeza umakini kidogo tu atakuwa Bora sanaAsante..... ni vile tu watu wanachukulia poa, nadhani kuna namna usipokata dawa hata kama unaishi hovyo havifumuki kivile.
Sababu kuna mzee ni mtu wa vyombo sana, hazingatii healthy living kiviile coz hana mke ila DAWA YUPO MAKINI SANA, ana private doctor na regimen tofauti nadhani
Kaanza kunywa late 2000s kabla ya 2010 ila anadunda tu, though magonjwa madogo madogo kawaida hayamuishi ila HAJAWAHI UMWA KIASI CHA KULAZWA since then