Linamo
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 9,976
- 24,496
[emoji13] [emoji13] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Tena tai za wahudumu wa hotelini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji13] [emoji13] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Tena tai za wahudumu wa hotelini
Wametambua uwepo wako[emoji1] [emoji1] [emoji1] lakini hujanijibu swali langu
Hahahha da Jane muda wa kusaka umbea uta upata wapi ,kuolewa mwachie dida bwana,hahahahaNiolewe na huo muda wa kuzunguka kutwaaa manjiani kuchuma mabuyu nitaupata wapi?
Nenda kwa Nifah au smileagain.....ma-single lady wakaksi, mie mwenzio mmbea.....kigoma cha uruguay kikinikosa mie nyumbani utasutwa wewe ujue.
Da Jane wee embu tuambie ndo ipi my Dada haha niku follow fasterHahahhah....
Nakupa chemsha bongo.
Hapa nakutumia kipande kifupi cha paragraph ya page yangu, ukipatia ujue ndio page yangu huko Insta
View attachment 336727
Umeongeza siku hongera, ss naomba uniambie who is JM?Hahahahahaaa hapana mkuu.
Umenichekesha sana
Niambie bwana basi ngoja nikaisake instaHahahhah....
Nakupa chemsha bongo.
Hapa nakutumia kipande kifupi cha paragraph ya page yangu, ukipatia ujue ndio page yangu huko Insta
View attachment 336727
DA Jane nishaijua au unataka nikuwekee hapa[emoji1] [emoji1] [emoji1] ngoja nikuandikie PM we ni noma nakusomaga kila siku ila sijuagi Kama ni wewe[emoji13] [emoji13] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Sisi na Dida au Dida na Aisha wa Issa?
tutapendanaje na wezi wa waume za watu, mtu anamkwiba mume wa mtu jumla jumlaSisi na Dida au Dida na Aisha wa Issa?
ni P.M. nimfollow na mie.DA Jane nishaijua au unataka nikuwekee hapa[emoji1] [emoji1] [emoji1] ngoja nikuandikie PM we ni noma nakusomaga kila siku ila sijuagi Kama ni wewe[emoji13] [emoji13] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
DA Jane nishaijua au unataka nikuwekee hapa[emoji1] [emoji1] [emoji1] ngoja nikuandikie PM we ni noma nakusomaga kila siku ila sijuagi Kama ni wewe[emoji13] [emoji13] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
ni P.M. nimfollow na mie.
Na mimi pia nikamfollow sasa hivi
cc Linamo
Uwiiiiiiii anzisha basi mpya?Kisha ututumie PM tuje tuangushe balaa huko.Haiko hewani tena.
Wajanja walii-hack
Mbona Kama mchambo unafanana lakiniHaiko hewani tena.
Wajanja walii-hack
Bas dida kakoma, nendeni kwa lulu sasa, maana yule kibaka WA waume za watu simpendi kama nini, halafu muuaji yule, mtoto mdogo lakin chini kumekomaa tayari