Dida Shaibu, paka urimbo mwanaume anase, usimvute kwa uzi wa buibui

Dida Shaibu, paka urimbo mwanaume anase, usimvute kwa uzi wa buibui

Wametambua uwepo wako
emoji1.png
emoji1.png
emoji1.png
lakini hujanijibu swali langu
Hahahhah....
Nakupa chemsha bongo.
Hapa nakutumia kipande kifupi cha paragraph ya page yangu, ukipatia ujue ndio page yangu huko Insta
Screenshot_2016-04-11-17-02-59-1.png
 
Niolewe na huo muda wa kuzunguka kutwaaa manjiani kuchuma mabuyu nitaupata wapi?
Nenda kwa Nifah au smileagain.....ma-single lady wakaksi, mie mwenzio mmbea.....kigoma cha uruguay kikinikosa mie nyumbani utasutwa wewe ujue.
Hahahha da Jane muda wa kusaka umbea uta upata wapi ,kuolewa mwachie dida bwana,hahahaha
 
Sisi na Dida au Dida na Aisha wa Issa?
DA Jane nishaijua au unataka nikuwekee hapa[emoji1] [emoji1] [emoji1] ngoja nikuandikie PM we ni noma nakusomaga kila siku ila sijuagi Kama ni wewe[emoji13] [emoji13] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
DA Jane nishaijua au unataka nikuwekee hapa[emoji1] [emoji1] [emoji1] ngoja nikuandikie PM we ni noma nakusomaga kila siku ila sijuagi Kama ni wewe[emoji13] [emoji13] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
ni P.M. nimfollow na mie.
 
Back
Top Bottom