Dida Shaibu, paka urimbo mwanaume anase, usimvute kwa uzi wa buibui

Niolewe na huo muda wa kuzunguka kutwaaa manjiani kuchuma mabuyu nitaupata wapi?
Nenda kwa Nifah au smileagain.....ma-single lady wakaksi, mie mwenzio mmbea.....kigoma cha uruguay kikinikosa mie nyumbani utasutwa wewe ujue.
Hahahha da Jane muda wa kusaka umbea uta upata wapi ,kuolewa mwachie dida bwana,hahahaha
 
Sisi na Dida au Dida na Aisha wa Issa?
DA Jane nishaijua au unataka nikuwekee hapa[emoji1] [emoji1] [emoji1] ngoja nikuandikie PM we ni noma nakusomaga kila siku ila sijuagi Kama ni wewe[emoji13] [emoji13] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
DA Jane nishaijua au unataka nikuwekee hapa[emoji1] [emoji1] [emoji1] ngoja nikuandikie PM we ni noma nakusomaga kila siku ila sijuagi Kama ni wewe[emoji13] [emoji13] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
ni P.M. nimfollow na mie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…