Dida Shaibu, paka urimbo mwanaume anase, usimvute kwa uzi wa buibui

Dida Shaibu, paka urimbo mwanaume anase, usimvute kwa uzi wa buibui

Kweli maisha ya mjini sio, kiruuuuuuu
Mi nasubiri wa Mange kabla ya kuwa muke ya muzungu na baada ya kuwa muke ya muzungu.
Hhhhaaaaa naona jukwaaa linarudi kwa kasiii,tupe ubuyu mamiiii mpaka macho yafuke moshiii
Da Jane udumu mama. Yani nimekupenda bure. Ubuyu mtamu hatari. Da Jane asante.
Yaani hadi raha
Ya Lulu hata mimi nayasubiri kwa hamu sana.
Uzi wa Wema mi sikuupata duuu nilikosa mambo jamani
Duuh! maneno yanauma kuliko ngumi.....hii ingekuwa face to face nadhani Dida angezilai

😀😀😀
 
DaJane naomba Id yako ya insta......nataka nifuatilie kwa ukaribu.......maana si kwa mdomo ule wa Dida......
 
Jamiiforums kwenye mambo kama haya ukiambatanisha na picha hazifungukagi...
 
Mtoa Ubuyu ni mtamu ila chini sijaelewa katiak Picha ya AISHA Umeandika ameshaolewa Tanga, kwa maana hiyo bwana Issa ni single kwa sasa??, na kama Aisha ameshaolewa kwanini anaondelea kumuombea Dida mabaya?? Dida nawe chuo cha 4 sasa isije ikawa wavunja ndoa za watu halafu wala simkaaji na hao waume, na ukumbuke unachofanyia wenzio na wewe utafanyiwa. utakuja porwa juu juu, yetu macho, hukuwa na haja ya kumchukua jumla jumla ruksa wa 4 ungekubali ukawa mke wa pili angalau.
 
Mtoa Ubuyu ni mtamu ila chini sijaelewa katiak Picha ya AISHA Umeandika ameshaolewa Tanga, kwa maana hiyo bwana Issa ni single kwa sasa??, na kama Aisha ameshaolewa kwanini anaondelea kumuombea Dida mabaya?? Dida nawe chuo cha 4 sasa isije ikawa wavunja ndoa za watu halafu wala simkaaji na hao waume, na ukumbuke unachofanyia wenzio na wewe utafanyiwa. utakuja porwa juu juu, yetu macho, hukuwa na haja ya kumchukua jumla jumla ruksa wa 4 ungekubali ukawa mke wa pili angalau.
Ndugu wa Aisha wako Tanga, walivyoona mtoto wao anakauka na stress, wakamtafutia mwanamme amuoe.
Kumbuka Issa alianza kuwa na Dida huku akiwa ndani ya ndoa na Aisha.
Issa alikata mguu kwake.
 
Back
Top Bottom