PSL god
JF-Expert Member
- Nov 18, 2023
- 8,435
- 6,476
Wataje basi au na ww unawaogopa?Pale Magomeni palikuwepo na bar moja maarufu kipindi fulani, kuna wasanii wawili wa bongo fleva waliwahi kuzibuliwa mitaro na bosi mmoja wa Wasafi, na bahati mbaya hao wasanii wameshapotea kwenye game ila mmoja ndio aliamua kuhamia Mombasa kwa shughuli zake za muziki.