Didier Deschamps kwanini umemuacha Anthony Martial?

Didier Deschamps kwanini umemuacha Anthony Martial?

Nimeanza kuishabia les blues mwaka 1998. Mtu anapouliza swali, Kwani hastahili kujibiwa?
Kwani tangu Les Bleus wameipoteza ndoo ya Europe,Kikosi hakijafanyiwa mabadiliko?
Nimeuliza hivi; Kante ni sub au ni first kwa sasa?
Nahitaji kujua.
Mimi euro 1996 kina youri djokaeff
 
Back
Top Bottom