Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,009
- 60,629
...mnaweza mkawa mnaendana kitabia, ila masuala mengine mkawa tofauti...!
love is blind au ni kuchagua kutokuangalia?..
Ukishachagua kutokuangalia ina maana umeamua kuvumilia na kujikubalisha na hizo tofauti!
...na hapo ndipo kigezo cha "uvumilivu" kinaanza kutumika..tik-tok...
"Time Bomb!"
Mbu bana, ndio maana nimesema mtu anaweza akampata mwanaume/mke ambae ni tofauti na vile anavyodai anataka awe na ndie akamfaa. Yote inategemeana na hizo tabia pamoja na huyo mwenzi wake alivyo.
Hehehehe uvumilivu kwangu kuna ya kuvumilia. . . magonjwa, ajali, makosa ya hapa na pale, viugomvi vidogo vidogo,ukata wa pesa ila cheating is a big no. Wakati wengine ukata wa pesa ndio big NO ila cheating inavumilika. Kila mtu afanye kwa kiasi chake, mimi sitokubali kusubiria nilipuke kisa nataka nisifike kwa uvumilivu.