Roberston jana alipata jibu loud and clear.Welcome to Anfield. It's up to you to be there. We'll be there.
Ask Barcelona.
Hahahaha asante kwa salaam, najua uliniweka kipolo, kila la kheri ATMMkuu nakusalimia tu.
Welcome to Anfield. It's up to you to be there. We'll be there.
Ask Barcelona.
Hii ni mara ya pili nikishuhudia mpambano mkali kati ya Simeone na Klopp na mara zote Klopp kapoteza pambano.
Kwa mara ya kwanza mtanange wa Audi Cup fainali uliopigwa Alliance Arena jijini Munich nilimuona Klopp hana ujanja dhidi ya safu ya ulinzi ya Atletico Madrid mwisho wa mchezo Atletico lishinda kwa mikwaju ya penati! Jana nimecheki tena gemu kali kati ya miamba hii miwili na sikuona cha maana kutoka kwa Liverpool!!!hawakupiga shuti hata moja lililolenga goli!!!atl.
Walikuwa smati sana jana kina Salah, Firminho na Mane wote hawakufua dafu mbele ya safu kali ya ulinzi ya Atletico! Nadhani gemu ya marudiano pale Anfield hali itakuwa ngumu sana kama Atletico wakiwa smart kujilinda kama jana!!!
Viungo wa liverpool walikosa ubunifu wa kupenyenza mipira kuwafikia kina mane na wenzake!!!Klopp ana kazi kubwa sana kuifunga safu ya ulinzi ya Atletico Madrid na kuwazuia wasifunge pale Anfield.
Ngoja tuone. Je, bingwa mtetezi kutolewa kwenye hatua ya 16 bora?
KLOPP WATCH OUT!!!!
Wakuu SteveMollel pancho boy Don Clericuzio nguvu
Nafikiri mjadala umehitimishwa rasmi, total humiliation at Anfield. Eti never walk alone MY FOOT 🤣 🤣🤣
Aaah goli la deflection dakika ya mwisho huwezi linganisha na clear defeats over 2 legs.Noma sana.
Tunaongea lugha moja saa hii.
Aaah goli la deflection dakika ya mwisho huwezi linganisha na clear defeats over 2 legs.
Mkuu 4 huwa sio sawa na 2 hata siku moja
Nadhani hufuatilii mpira vizuri msimu huu ndio Alteti ipo attacking kuliko misimu yote.Someone's styles = Jose mourihno 2.0.
Negative Manager,
Coward Mentality,
Ugly Football,.
Utata Defensive tactics Ukishinda utaonekana hero,
Ukifungwa utaonekana Coward!!!
Haibadili ukweli kuwa Klopp is shit kwa Simeone!! Kapigwa nje ndani and that won't ever change. Embarassment ya anfield haiwezi kufutwa kwa goli la deflection.At the end of the day, mmeendelea kuwa wasindikizaji tu UEFA kama kawaida yenu.
Haibadili ukweli kuwa Klopp is shit kwa Simeone!! Kapigwa nje ndani and that won't ever change. Embarassment ya anfield haiwezi kufutwa kwa goli la deflection.
Embarrassment ya Anfield haifutiki kwa Atletico Madrid kutolewa yes. That is FACT.
Atletico kuendelea kuliona kombe la UEFA kwa jirani au kwenye TV ni FACT pia.
Na hawatalichukua wakiwa na Simeone.