Diego Simeone ni kiboko ya Jurgen Klopp

Diego Simeone ni kiboko ya Jurgen Klopp

Nilishasema humu sujui kwenye Uzi upi sikumbuki!! Liverpool anakutana na Wapumbavu wengi EPL ndio maana kawa Bora lakin kiuhalisia hayuko Bora Sana.. Liverpool kwanza wanakikosi finyu Sana Yaan Kukaa na kutabiri ataanza Nani na Nani ni rahisi sana..Ndio maana unaona wakikosekana Watu wachache tu ndani ya first eleven Wana hangaika Sana... Zaidi Wamechoka acha wakomae na EPL tu

Typed Using KIDOLE
 
Hii ni mara ya pili nikishuhudia mpambano mkali kati ya Simeone na Klopp na mara zote Klopp kapoteza pambano.

Kwa mara ya kwanza mtanange wa Audi Cup fainali uliopigwa Alliance Arena jijini Munich nilimuona Klopp hana ujanja dhidi ya safu ya ulinzi ya Atletico Madrid mwisho wa mchezo Atletico lishinda kwa mikwaju ya penati! Jana nimecheki tena gemu kali kati ya miamba hii miwili na sikuona cha maana kutoka kwa Liverpool!!!hawakupiga shuti hata moja lililolenga goli!!!atl.

Walikuwa smati sana jana kina Salah, Firminho na Mane wote hawakufua dafu mbele ya safu kali ya ulinzi ya Atletico! Nadhani gemu ya marudiano pale Anfield hali itakuwa ngumu sana kama Atletico wakiwa smart kujilinda kama jana!!!

Viungo wa liverpool walikosa ubunifu wa kupenyenza mipira kuwafikia kina mane na wenzake!!!Klopp ana kazi kubwa sana kuifunga safu ya ulinzi ya Atletico Madrid na kuwazuia wasifunge pale Anfield.

Ngoja tuone. Je, bingwa mtetezi kutolewa kwenye hatua ya 16 bora?

KLOPP WATCH OUT!!!!



Diego anajua anachokifanya, ni best kocha hata the salary paid ni mkubwa kuliko kocha yeyote duniani
 
Uzi uliosababisha nikafungiwa jf kwa mwezi mmoja baada ya liva kupigwa kwenye marudiano!kisa neno jiwe inaonekana MODS NI LIVER WENGI KAMA MIMI ILA HAWANA UVUMILIVU WA KISOKA!!!!!!!
 
Someone's styles = Jose mourihno 2.0.


Negative Manager,

Coward Mentality,

Ugly Football,.

Utata Defensive tactics Ukishinda utaonekana hero,
Ukifungwa utaonekana Coward!!!
 
Someone's styles = Jose mourihno 2.0.


Negative Manager,

Coward Mentality,

Ugly Football,.

Utata Defensive tactics Ukishinda utaonekana hero,
Ukifungwa utaonekana Coward!!!
Nadhani hufuatilii mpira vizuri msimu huu ndio Alteti ipo attacking kuliko misimu yote.

Trippier na Lodi wanatengeneza formation ya 2-4-4 while attacking alafu midfielders ndio wana cover the flanks.

Zamani ilikua beki wa Simeone hapandi kabisa ila kwa sasa wao ndio wingbacks so kabadilika mno.

Zamani alitumia pure midfielder 4 hapo kati sahvi anatumia 2 attacking midfielders Yaani carassco na Llorente.

Mkuu jamaa kabadilika sana ila tumekosa mmaliziaje mzuri ndio maana La Liga wana draw 16 na wameshinda 18!! Ko unaweza ona kma wangekua na mmaliziaji mzuri hizo draw zingegeuka 3 points wabebe ndooo
 
At the end of the day, mmeendelea kuwa wasindikizaji tu UEFA kama kawaida yenu.
Haibadili ukweli kuwa Klopp is shit kwa Simeone!! Kapigwa nje ndani and that won't ever change. Embarassment ya anfield haiwezi kufutwa kwa goli la deflection.
 
Haibadili ukweli kuwa Klopp is shit kwa Simeone!! Kapigwa nje ndani and that won't ever change. Embarassment ya anfield haiwezi kufutwa kwa goli la deflection.

Embarrassment ya Anfield haifutiki kwa Atletico Madrid kutolewa yes. That is FACT.

Atletico kuendelea kuliona kombe la UEFA kwa jirani au kwenye TV ni FACT pia.

Na hawatalichukua wakiwa na Simeone.
 
Embarrassment ya Anfield haifutiki kwa Atletico Madrid kutolewa yes. That is FACT.

Atletico kuendelea kuliona kombe la UEFA kwa jirani au kwenye TV ni FACT pia.

Na hawatalichukua wakiwa na Simeone.
tenor.gif
 
Back
Top Bottom