zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Timu gani inasuasua?? Mie ni Team Atletico mwaka wa 13 sasa sio kila mtu ni EPL fanboy. Liwe liwalo halibadili ukweli kuwa ssi ndio team pekee iliyowabana hadi mkatoka bila shot on target!! Na kuwafunga ilihali mko unbeaten kwa muda mrefu.Subiri liver amtoe huyo atletico uone utakavyobadili gia angani, baada ya timu lako kusuasua umeamua kujificha kwenye kichaka cha atletico sasa mimi siumi maneno huyo atletico wako tunapiga uamie timu nyingine itakayopangwa na liver, eti wahuni hawana hata ucl moja ya kuiba
Unbeaten muda mrefu? Hivi unafatilia mpira kweli wewe? Kwa taarifa yako hatua ya makundi tulifungwaTimu gani inasuasua?? Mie ni Team Atletico mwaka wa 13 sasa sio kila mtu ni EPL fanboy. Liwe liwalo halibadili ukweli kuwa ssi ndio team pekee iliyowabana hadi mkatoka bila shot on target!! Na kuwafunga ilihali mko unbeaten kwa muda mrefu.
Kwa hilo tu you need to show some respect kid
Umevurugwa wewe sio bure hivi unazani phillipe coutinho aliondoka bure? Angalia kwenye miaka ya JK gharama tulizotumia kununua na kuuza halafu linganisha na mafanikio, halafu rudi kwa huyo DS uangalie miaka minne nyuma kapata mafanikio gani zaidi ya runner upShida yako huna takwimu Atletico iliuza wachezaji 10 kwa gharama ya zaidi β¬300 M euros na hivyo wakatumia almost β¬250 Kuziba mapengo kwa kusajili 7 players!!
Na labda haufaham Atletico ndio timu inayoongoza kwa revenue ya kuuza wachezaji yaani transfer balance yetu ni positive ikifuatiwa na Benfica. So hakuna msimu imetumia pesa nyingi kma liver zaidi ni kusajili replacements tu.
Ssa nionyeshe ni msimu gani liverpool imekua na positive transfer balance toka klopp amekuja??
Mkuu kma huna facts usiropoke
Anazingua huyo atletico msimu wametmia pesa kibwena ile waliyomuuza griezman imetumika yotee... Sasa 4500 imetoka wapi?Eti anasema atletico wametumia sh 4500 tu kusajili wakati liver wametumia bilioni sita,
Vitakwimu hivyo vimtishe nani? Kombe hilo lilishaitwa uefa ndogo that means kuna uefa kubwa, sasa niache kujisifia uefa kubwa nisifie ndogo? Lini huyo atletico alichukua kombe la klabu bingwa ulaya? Ukinitajia na mimi ntakutajia lini liver alichukuaNaona mkuu klopp fan boys umewashika pabaya sana ulipoleta takwimu comments zitazokuja naamin zitakuwa offensive tu wala hazitokuja na facts tena teh teh teh
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo team yako kuwa unbeaten PL na clean sheet kma zote ni kawaida tu ikifungwa tena bila shot on goal??Unbeaten muda mrefu? Hivi unafatilia mpira kweli wewe? Kwa taarifa yako hatua ya makundi tulifungwa
Makombe mengi? Atletico?.. Unaweza kuta hizo rank ulizotuletea ni za mwaka Juzi tutaamini vipi?View attachment 1367634
Official page ya UEFA na msimu huu ni ya 3 bado licha mapovu yenu.
UEFA wanaenda na takwimu baada ya Real anayefuata kwa makombe na fainali nyingi ni Atletico hao liverpool hata top 10 hawakuwemo then kelele kibao humu.
UCL wote tumeingia final 2 tukafungwa kwa extra time na penalty nyie mkapigwa open play na nyingine mkashinda kwa goli la penalty tena dhidi ya timu dhaifu.Vitakwimu hivyo vimtishe nani? Kombe hilo lilishaitwa uefa ndogo that means kuna uefa kubwa, sasa niache kujisifia uefa kubwa nisifie ndogo? Lini huyo atletico alichukua kombe la klabu bingwa ulaya? Ukinitajia na mimi ntakutajia lini liver alichukua
Hakuna fact ulizolileta ila umejaa ushabiki na hisia tena za uongo uongo.. Mara ukubali atletico kupigwa final mbili Mara ukatae usingizie walifungwa extra time.. Kana kwamba atletico huwa hawawezi kucheza extra time..! Hueleweki..!Unaletewa facts unakimbia!!
Don't argue kma huna takwimu,
EPL fan boy hiyo screenshot hujaona 2019/20??Makombe mengi? Atletico?.. Unaweza kuta hizo rank ulizotuletea ni za mwaka Juzi tutaamini vipi?
Fact ni kwamba simeone ana trophy nyingi last decade kuliko klopp ssa sijaelewa unachobisha nni??Hakuna fact ulizolileta ila umejaa ushabiki na hisia tena za uongo uongo.. Mara ukubali atletico kupigwa final mbili Mara ukatae usingizie walifungwa extra time.. Kana kwamba atletico huwa hawawezi kucheza extra time..! Hueleweki..!
Mbona liver kaingia final mbili mfululizo. Ya pili tukashinda? halafu nyie mmegongwa zote mbili..! Kwanini? huna sababu..!
Wewe jamaa una shida gani?Sasa unabisha nni mkuu Europa league 3 na super cup 3 na final za UCL 2 jumla fainali 8 na makombe 6 unajua hizo ni coefficient points ngapi??
Nitajie timu iliyocheza fainal na kubeba uefa competitions kuliko atleti last decade ukiachana na real madrid ?? Nitajie moja tu maana naona twabishana huku huna takwimu.
Hakuna cha makombe ya UEFA hivyo ni vya Europa league huko wanakocheza kina man u ndo unajitapa? ππππEPL fan boy hiyo screenshot hujaona 2019/20??
Ndio wana makombe mengi yapo 6 ya UEFA last decade nyie vikombe 2 tu kelele kibao.
Aah umebadili tena hahahFact ni kwamba simeone ana trophy nyingi last decade kuliko klopp ssa sijaelewa unachobisha nni??
Mada hpa ni kuwa simeone is better than Klopp hutaki unaacha
Hivi wewe jamaa unajua unachokiandika? Haya futa goli la Salah tuone kombe atapewa nani au unazani tulishinda moja bila? Kwa taarifa yako bila madrid kucheza mieleka tungechukua kombe, halafu nyie na mifainali yote mliyocheza mbona hamjawahi kuwa mabingwa wa ulaya?UCL wote tumeingia final 2 tukafungwa kwa extra time na penalty nyie mkapigwa open play na nyingine mkashinda kwa goli la penalty tena dhidi ya timu dhaifu.
Ssa hii arrogance unatoa wapi?? Anyway tusubiri game ya anfield kelele zitaisha hizi
Umekula maharage ya wapi wewe? DS is better than JK? Hivi ni kocha gani kwa sasa anazungumziwa duniani?Fact ni kwamba simeone ana trophy nyingi last decade kuliko klopp ssa sijaelewa unachobisha nni??
Mada hpa ni kuwa simeone is better than Klopp hutaki unaacha
Huko UCL kila siku tunafungwa na fainali tunatimba, msimu wa juzi tulifungwa kwenye makundi, nusu fainali na fainali pia msimu jana tulifungwa nusu fainali na fainali tukaingia sasa unashangaa nini kufungwa msimu huu?Kwahiyo team yako kuwa unbeaten PL na clean sheet kma zote ni kawaida tu ikifungwa tena bila shot on goal??
Shida huna takwimu mie nmekwambia Atletico ana makombe ya UEFA competitions 6 last decade, katika kipindi hicho hao Liver wana mawili 2 so simeone amemzidi Klopp kwa mbali na ndio maana imekua #2 best team of the decade kwa uefa rankings.Wewe jamaa una shida gani?
Eti final mbili.. πππ hakunaga takwimu za hivyo so hao FIFA wamewapa hiyo rank kutokana na kucheza final mbili...?
Sijawahi kuona mtu anajivunia kitu ambacho hajakipata ila ni wewe tu..
Msimu wa 2014/2015 hapo barca si kachukua kombe hapo treble? Na Luis Enrique? Au hiyo ni last decade..!
Liverpool ana UEFA sita.. kuanzia hapo tu hiyo team sio viwango vya atletico.. Ni next level.. kwa maana hiyo hata Bayern huwezi kushindana nae ana UEFA.. mkashindane na sevila mwenye Europa tatu.
Pia hizo final unazojidai nazo mbona liver nao wameingia final mbili misimu miwili mfululizo?
Leo nakubana umeyataka mwenyewe