Diesel tumekumbukwa kwa mara ya Kwanza!

Diesel tumekumbukwa kwa mara ya Kwanza!

M24 Headquarters-Kigali

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2012
Posts
8,199
Reaction score
8,186
Kwa mara ya Kwanza. Wenye kutumia magari ya diesel tumekumbukwa. Asanteni.

Cap-prices-wef-4-May-2022-English-2.jpg
 
Nahisi hii ndiyo mada ambayo nimecheka sanaaaaa mwenyewe kuliko zote..
mwaka huu hakuna pa kukimbilia hata nyie WA diesel kazi mnayo mwaka huu.

nashukuru nimeshaanza kupaki gari Toka mwezi huu umeanza kwahiyo nimeshazoea kupanda private car (Noah) mida ya asubuhi Kwa buku 2 mpaka kariakoo alafu jion napanda bajaj Kwa buku 2 Hadi chamazi na maisha yanaendelea
 
Nahisi hii ndiyo mada ambayo nimecheka sanaaaaa mwenyewe kuliko zote..
mwaka huu hakuna pa kukimbilia hata nyie WA diesel kazi mnayo mwaka huu.

nashukuru nimeshaanza kupaki gari Toka mwezi huu umeanza kwahiyo nimeshazoea kupanda private car (Noah) mida ya asubuhi Kwa buku 2 mpaka kariakoo alafu jion napanda bajaj Kwa buku 2 Hadi chamazi na maisha yanaendelea
Mkuu wengine tukipaki ndio kazi haziendi.
Hatutumii gari kama luxury tu bali kama nyenzo ya kazi.
Mimi hata ikifika 5,000 sina ujanja wa kupaki labda niamue kulala na nisiende kazini
 
Niliwahi kuuliza kitambo kuwa Mbona bei ya Diesel iko chini kuliko petrol nikakosa majibu
Maana nchi nyingi nimeona diesel ni juu kuliko petrol kwa sababu mashine na magari ya abiria na mizigo ambayo yanaingiza hela na ajira ndio wanalipa zaidi ila kwetu ilikuwa tofauti

Sasa naona wameelewa wabane huko ila labda wana sababu zao
 
Niliwahi kuuliza kitambo kuwa Mbona bei ya Diesel iko chini kuliko petrol nikakosa majibu
Maana nchi nyingi nimeona diesel ni juu kuliko petrol kwa sababu mashine na magari ya abiria na mizigo ambayo yanaingiza hela na ajira ndio wanalipa zaidi ila kwetu ilikuwa tofauti

Sasa naona wameelewa wabane huko ila labda wana sababu zao
Waendelee hivyo hivyo. Wabanwe vilivyo
 
Back
Top Bottom