Difference of these two courts

Difference of these two courts

Mbeke

Member
Joined
Aug 5, 2012
Posts
30
Reaction score
3
"District court na Resident court.. ni mahakama zenye mamalaka sawa,na hakimu wanaohusika katika mahakama hizi wana elimu sawa yaani wote wana degee ya sheria...tofauti inakuja kwenye kusikiliza kesi za jinai.kwanini District court zimepewa mamlaka hayo na Resident court hazijapewa hayo mamlaka? ni nini tofauti ya mahakama hizo mbili?
 
Sasa hapo itakubidi ukadese courts za enzi za mkoloni then utajua why anzia germans, british the proceed baada ya uhuru..over..
 
...pitia shauri la Muharami Mgen Mzee v. abdulhalm ali khatib and other 1996 civil appeal No.1 ,reportd kwa TLR 1996 PG.299
 
Back
Top Bottom