Dikteta Adoph Hitler aliwafanya mbaya wayahudi

Dikteta Adoph Hitler aliwafanya mbaya wayahudi

God'sBeliever

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2015
Posts
5,788
Reaction score
3,033
Katika historia ya waisraeli sidhani kama watakaa wasahau kibano walichokipata kwa Hitler.
Majuzi walikua wanaadhimisha miaka 70 ya kuuliwa kwa wenzao wapatao millioni 6 na zaidi
Mauaji hayo yalipewa jina la Holocast!
Hii damu ya wenzao sidhani kama itakaa isahaulike. Hakika wakilisikia hilo jiana Hitler matumbo yanawawaka moto sana.

Hawa wayahudi kwa ubaguzi wao uliokidhiri hakika walikiona cha mthema kuni.
Walikua wanapenda kujipendelea sana ujerumani, taasisi zao za kielimu hawataki waingize race nyingine, Hitler kuna kipindi alitaka ajiunge na shule ya wayahudu, hao wayahudi wakamnyima na ndio chuki ilianza hapo na kweli baada ya kuwa kansela na mkuu wa nchi akawamaliza mara moja ndipo moyo wake ukawa na furaha.
 
Na vipi kuhusu G Bush Na Tonny Brair walichokifanya huko mashariki ya kati unalizungumziaje hilo?
 
Holocoust ni hadithi ya kutunga? Ili watu wapigane vita ya pili ya dunia au lengo lilikuwa kuiweka israel pale mashariki ya kati[emoji15][emoji15]
 
Hitler angefanikiwa kuwamaliza wayahudi wote dunia ingekuwa sehemu salama ya kuishi..!
 
Hitler angefanikiwa kuwamaliza wayahudi wote dunia ingekuwa sehemu salama ya kuishi..!
Sana mkuu sema kosa kubwa alilolifanya ni kumfata mrusi! hapo aliharibu kabisa, ila pamoja na kuharibu aliwafyeka vyema warusi. Warusi milioni 20 sio mchezo hata stalin alikua anatoka jasho kwenye kope.
 
Dunia haina amani kwa sababu ya mashetani, mashetani ni watu wabaya sana.angefanikisha kuwamaliza mashetani dunia ingekua sehemu salama kabisa. lakini tusisahau HITLER alikua ana maana yake kubakiza mabaki yalobakia pale, ili dunia ijionee kuwa mashetani hawa sio watu wazuri. Ndio tunajionea sasa.
Hakika mkuu hawa watu tunaowaita madikteta ndio tunakuja kuona umuhimu wao huku mbeleni.

Mijitu kama miarabu hainaga shukrani, imefanya kila aina ya hujuma kwa kusaidiwa na nato kumuua mkombozi wao cheki saivi inavyotapatapa.
Hata kama gadai alikua anakosea wangempotezea tuu maana na yeye ni binadamu wa kawaida ameumbwa kukosea.
Naichukia sanamiarabu mkuu.
Angalia kule misri walichofanya tena.
Sa nyingine unaweza hisi watu hawajitambui kumbe wapo na akili nyingi tuu tena wengine maprofesa kabisa.
 
Hakika mkuu hawa watu tunaowaita madikteta ndio tunakuja kuona umuhimu wao huku mbeleni.

Mijitu kama miarabu hainaga shukrani, imefanya kila aina ya hujuma kwa kusaidiwa na nato kumuua mkombozi wao cheki saivi inavyotapatapa.
Hata kama gadai alikua anakosea wangempotezea tuu maana na yeye ni binadamu wa kawaida ameumbwa kukosea.
Naichukia sanamiarabu mkuu.
Angalia kule misri walichofanya tena.
Sa nyingine unaweza hisi watu hawajitambui kumbe wapo na akili nyingi tuu tena wengine maprofesa kabisa.
Mkuu ujue nyuma ya yote hayo kuna vibaraka walioleta chokochoko, na wao bila kujitambua wanakubali upuuzi.
 
e3754a2b9c25a8fe15ed6b6ad28eedc0.jpg
376b9291a1e9dedd7eef3258cef42e50.jpg
035873730dbcb6578e9129dd65950cb1.jpg
 
Back
Top Bottom