Dikteta Stalin wa Urusi ndiyo anashikilia rekodi ya kuagwa na watu wengi zaidi 1953

Dikteta Stalin wa Urusi ndiyo anashikilia rekodi ya kuagwa na watu wengi zaidi 1953

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Mnyama ama mtu hatari akifa/akifariki watu huwa wanajitokeza kwa wingi kushangaa.

Nakumbuka ktk kijiji chetu aliuawa chatu mla watu aliyesumbua kwa miaka mingi sana, watu toka karibu vijiji vyote 8 vya kata yetu walimiminika kuja kumwangalia. Huyo ni chatu ambaye wala siyo mwanasiasa achilia mbali kwamba alihatarisha maisha ya watu.

March 1953, alifariki dikteta katili Sana nchini Urusi lkn mamilioni ya warusi walimiminika kwenda kuthibitisha na kumshangaa.

Watu wanaoenda kushuhudia ama kushangaa huangua vilio kwasabb huwakumbuka wapendwa wao waliopoteza maisha yao kwasabb ya mnyama/mtu huyo.

Kwahiyo usije ukatumia wingi wa watu kuhitimisha kuwa marehemu alikuwa kipenzi cha watu.

20210324_180851.jpg
 
Mnyama ama mtu hatari akifa/akifariki watu huwa wanajitokeza kwa wingi kushangaa.

Nakumbuka ktk kijiji chetu aliuawa chatu mla watu aliyesumbua kwa miaka mingi sana, watu toka karibu vijiji vyote 8 vya kata yetu walimiminika kuja kumwangalia. Huyo ni chetu ambaye wala siyo mwanasiasa achilia mbali kwamba alihatarisha maisha ya watu.

March 1953, alifariki dikteta katili Sana nchini Urusi lkn mamilioni ya warusi walimiminika kwenda kuthibitisha na kumshangaa.

Watu wanaoenda kushuhudia ama kushangaa huangua vilio kwasabb huwakumbuka wapendwa wao waliopoteza maisha yao kwasabb ya mnyama/mtu huyo.

Kwahiyo usije ukatumia wingi wa watu kuhitimisha kuwa marehemu alikuwa kipenzi cha watu.

View attachment 1733441
I can assure you that you are a real sexless..means that you can be integrated and differentiated at the same time.
Rubish.
 
Mnyama ama mtu hatari akifa/akifariki watu huwa wanajitokeza kwa wingi kushangaa.

Nakumbuka ktk kijiji chetu aliuawa chatu mla watu aliyesumbua kwa miaka mingi sana, watu toka karibu vijiji vyote 8 vya kata yetu walimiminika kuja kumwangalia. Huyo ni chetu ambaye wala siyo mwanasiasa achilia mbali kwamba alihatarisha maisha ya watu.

March 1953, alifariki dikteta katili Sana nchini Urusi lkn mamilioni ya warusi walimiminika kwenda kuthibitisha na kumshangaa.

Watu wanaoenda kushuhudia ama kushangaa huangua vilio kwasabb huwakumbuka wapendwa wao waliopoteza maisha yao kwasabb ya mnyama/mtu huyo.

Kwahiyo usije ukatumia wingi wa watu kuhitimisha kuwa marehemu alikuwa kipenzi cha watu.

View attachment 1733441
Acheni wivu na uvivu wa kufikiri. Msimlinganishe Magufuli na Stalin. Magafuli alipendwa na Stalin aliogopewa kama ilivyo Korea ya Kaskazini kwa sasa. Msitufanye hatuna akili.
 
Mnyama ama mtu hatari akifa/akifariki watu huwa wanajitokeza kwa wingi kushangaa.

Nakumbuka ktk kijiji chetu aliuawa chatu mla watu aliyesumbua kwa miaka mingi sana, watu toka karibu vijiji vyote 8 vya kata yetu walimiminika kuja kumwangalia. Huyo ni chatu ambaye wala siyo mwanasiasa achilia mbali kwamba alihatarisha maisha ya watu.

March 1953, alifariki dikteta katili Sana nchini Urusi lkn mamilioni ya warusi walimiminika kwenda kuthibitisha na kumshangaa.

Watu wanaoenda kushuhudia ama kushangaa huangua vilio kwasabb huwakumbuka wapendwa wao waliopoteza maisha yao kwasabb ya mnyama/mtu huyo.

Kwahiyo usije ukatumia wingi wa watu kuhitimisha kuwa marehemu alikuwa kipenzi cha watu.

View attachment 1733441
Na msaliti mzee wa MIGA Lisu anashangilia sana.

Amefikia hatua ya kuionea aibu maiti kwamba kwa nini inaliliwa sana
 
Hivi durtete kwa aina ya uongozi wake mtamfananisha na nani kwa sasa

Ova
 
Naona yale matapishi ya Lema kule republic ya twita umeyaleta humu.

Mwenzio amechambwa twita vya kutosha..na wadau wameonya + kumwambia wameziona busara za Prof Jay,Sugu,Mzee Mbowe + Msigwa kdg japo kwa kipindi chote cha changamoto walizokutana nazo.

Hao wengine mazwazwa tuu
 
Back
Top Bottom