YETOOO
Member
- Nov 25, 2011
- 83
- 37
Mimi nilifanya interview kadhaa kwenye makampuni mbalimbali na kila interview nilikua nawauliza kama wana utaratibu wa kutoa majibu kwa waliofanikiwa na wasiofanikiwa.Sasa kama nikijibiwa kuwa tutakujibu baada ya wiki mbili iwe umepata au hujapata ikipita wiki mbili sijasikia kutoka kwao nimekua na tabia ya kuwapigia simu kuwauliza vipi?Je ni vibaya kuulizia majibu ya interview?maana kuna interview tips nilisoma wanasema dont chase the job wait if you are successful you will be contacted.Naomba na maoni yenu pia wadau ili isije ikawa kiherehere changu cha kuulizia kinanikosesha kazi.
Ahsanteni
Ahsanteni