goodlif1600
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 805
- 877
Kwaio awe anafanya kama wenzake hao Alina Davido hawalalamiki Ila wanaonyesha vitendo .sio kila siku kwenye media Mimi Nina pesa Mara ooooh sijui Google izo kelele hazina mantiki through investment watu wataona Ana ukwasi kiasi basi FORBES watamuinclude kwenye list ijayoHakuna mwenye pesa asiepiga kelele, ndio maana lazima kuna watu watajua tu fulani pesa anayo, zinaweza kuwa kelele za mdomoni au vitendo, rejea Davido alipo mpa zawadi mwanae wa miaka 5, Gari la kifahari hii nayo ni kelele, hakuna tatizooo lolote mtu kutambia alichonacho
Hip hop hapa mkuu, mengine nimeachia vibinti 😂Najua unamkubali sana
Kweli vile 🤣 mondi anunue ndege, magari ya kifahari, na sio moja, majumba ya kishua sehemu tofauti tofauti, apige collabo za kishua na wasani wa Afrika na nje ya Afrika kila baada ya mda kidogo yaani collabo moto moto, awekeze nchi za nje hadi ndani ya TZ.... Hapo hata forbes watamweka nambari Uno wenyewe bila kelele zake. Haya kazi kwake! 🤣 🤣 🤣Kwaio awe anafanya kama wenzake hao Alina Davido hawalalamiki Ila wanaonyesha vitendo .sio kila siku kwenye media Mimi Nina pesa Mara ooooh sijui Google izo kelele hazina mantiki through investment watu wataona Ana ukwasi kiasi basi FORBES watamuinclude kwenye list ijayo
an exceptionally intelligent person with "exceptional skill" in a particular area of activity.Unajua maana ya genius...?
Ametoa msimamo wake baada ya list ya Forbes wala sio malalamiko, Forbes wametoa Data za uongo kuhusu yeye, anayo haki ya kusema, Ata akisema anazo hela kwani wewe kipi unapungukiwa?Kwaio awe anafanya kama wenzake hao Alina Davido hawalalamiki Ila wanaonyesha vitendo .sio kila siku kwenye media Mimi Nina pesa Mara ooooh sijui Google izo kelele hazina mantiki through investment watu wataona Ana ukwasi kiasi basi FORBES watamuinclude kwenye list ijayo
Zinakuja sawaTuzo za sadala aka nasibu aka diamond za grammy ziko wapi????
Angalia game diamond platinumz Ni genius and [emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383][emoji383]Tuzo za grammy ziko wapi? Halafu shosti ni shing ngapi unapewa na sadala aka diamond kuwa chawa wake, mana sio kwa akili hizo za kipumbavu kua unataka kumlinganisha bakhresa na nasibu nyange, hahahah ngoja nikuache ..ila dah haya sio mahaba aisee , huu ni UCHIZI hahahaha
Yeah babyHivi wee uko timamu? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
FORBES NI YA MABEBERU HATUITAKIKwaio awe anafanya kama wenzake hao Alina Davido hawalalamiki Ila wanaonyesha vitendo .sio kila siku kwenye media Mimi Nina pesa Mara ooooh sijui Google izo kelele hazina mantiki through investment watu wataona Ana ukwasi kiasi basi FORBES watamuinclude kwenye list ijayo
Kalale Sasa dogoHip hop hapa mkuu, mengine nimeachia vibinti [emoji23]
DIAMOND PLATINUMZ NI BILLIONAIRE [emoji383][emoji383][emoji383]Kweli vile [emoji1787] mondi anunue ndege, magari ya kifahari, na sio moja, majumba ya kishua sehemu tofauti tofauti, apige collabo za kishua na wasani wa Afrika na nje ya Afrika kila baada ya mda kidogo yaani collabo moto moto, awekeze nchi za nje hadi ndani ya TZ.... Hapo hata forbes watamweka nambari Uno wenyewe bila kelele zake. Haya kazi kwake! [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
DIAMOND PLATINUMZ NI REAL DEAL AND GENIUS IN BONGO FLAVORan exceptionally intelligent person with "exceptional skill" in a particular area of activity.
Mfano MJ(Michael Jackson), Akon nk... Mondi bado hiyo level
FactAmetoa msimamo wake baada ya list ya Forbes wala sio malalamiko, Forbes wametoa Data za uongo kuhusu yeye, anayo haki ya kusema, Ata akisema anazo hela kwani wewe kipi unapungukiwa?
TSh. Billionare, hehehe, not $$$... 😂DIAMOND PLATINUMZ NI BILLIONAIRE [emoji383][emoji383][emoji383]
convert $15mTSh. Billionare, hehehe, not $$$... [emoji23]
And I have already told you, he's a Tanzanian shilling billionare, not a US dollar billionare.convert $15m
There's only 1 US Dollar billionare in Tz. Do your research young fella!DIAMOND PLATINUMZ NI BILLIONAIRE [emoji383][emoji383][emoji383]
Kwanza asingeishi nyumba ya kupanga, inamaana pesa alizonazo zinashindwa kumjengea nyumba ya ndoto zake?There's only 1 US Dollar billionare in Tz. Do your research young fella!
Kupanga nikuchagua kijana RR 2021 ZERO KILOMETERSKwanza asingeishi nyumba ya kupanga, inamaana pesa alizonazo zinashindwa kumjengea nyumba ya ndoto zake?