Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
- Thread starter
- #141
Sure hiyo Ni kumbukeni badoKuna mamilionea , mabilionea na matirionea, wote wana heshima yao kwenye ulimwengu wa kumiliki fedhwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure hiyo Ni kumbukeni badoKuna mamilionea , mabilionea na matirionea, wote wana heshima yao kwenye ulimwengu wa kumiliki fedhwa
Fact kakaHuyo mshamba mwambie , kwenye mziki bila show off huchomoki ,music is about fame , labda kama unafanya biashara na mziki unafanya for leisure .....!!!
Fact kakaNimekwambia kuna show off ya maneno na vitendo, Kuna mtu aongei lakini matumizi yake unajua kuwa huyu Mwamba pesa ipo, ndicho alichofanya Justin bieber kununua Gari ambayo hakuna mwenye nayo duniani zaidi yake kwenye design lengo tujue kuwa pesa anayo, wewe unafikiri angenunua Gari ya kawaida kuna mtu angeshtuka kama walivyoshtuka kusikia Justin kanunua Gari ya kipekee duniani? soma vizuri uelewe usikurupuke
Hajalia Ila kawachana ukweli sawa dogoMwanamziki analilia awekwe forbes
Bado haujasema wanaangalia vigezo gani sawa dogo bado mweupe kumbeKuna deals za kawaida za matangazo ambazo hata models wanafanya.
Vile vile kuna endorsements ambazo kampuni inaamini kupitia kwa msanii watapata awareness na hivyo bidhaa zao kuuza au kujulikana zaidi.
Kuna kanpuni huwa zinawapa deals wasanii kama partners tu, ndio maana mara nyingi kampuni zikiona umekiuka baadhi ya maadili yao, huwa zinajitoa. Maana yake msanii ndiyo anayefaidika zaidi kuliko kampuni husika.
Mwisho, kibongo bongo endorsements nyingi zina udalali. Kupata inategemeana na unamjua nani ?
Ndio maana unaona Msanii mkubwa tu kama Alikiba hana endorsements za kueleweka.
Yaani kwa lugha rahisi kampuni haihitaji wewe uifanyie promotion ndio iuze.
Typing errorAlafu unaandikaje taarifa kubwa kama hiyo na unakosea jina la kampuni kubwa kama WARNER MUSIC GROUP ? Hiyo WARMER ULIOANDIKA WEWE NI YA WAPI ?
[emoji23][emoji23][emoji23]Bongo ni ngoma.
Ukipeleka album umeiita Bongo kimataifa watu wanaweza kufikiri ni albamu ya wapiga ngoma.
Leisure yaani anamwaga hela kwa mziki bila kujali. Bora kitu kiwe safi, alafu kushirikisha kina Drake sio kitu kwake, yeye mwenyewe jina kubwa, sasa akimwita drake ni waje wapige dude la kisela, sio ati ako na njaa ya hela.Leisure ukiwa na maana gani? yaani unapiga nyimbo na wasanii wakubwa kama Drake halafu unaita leisure? kama ni leisure Dj Khalid angefanya mwenyewe sio kushirikisha watu wenye majina makubwa na mashabiki wengi, Bajeti anayo tumia Dj Khalid ni kubwa mno kwenye nyimbo kuliko Diamond sasa huu u leisure unaosema wewe upi?
Sasa Dweji kaingilia wapi? 😂 Haya huyo Mo, ushamskia akilia lia eti forbes ama magazine yoyote ile imeandika list ya wa wenye hela na yeye kawekwa position isiyokuwa sahihi? Hana time hiyo!Sasa wale Wana hela wakati wanazidiwa na Mo
Hilo nalo nenoKwa hiyo FORBES hawajui namna ya kupata taarifa za utajiri wake ila Google wanajua...so kwake Google ndio chanzo sahihi...wakati uki google kuhusu utajiri wake...hiyo Google inakurudisha kwa FORBES ahahahaha! Bongo ni zaidi ya Uijuavyo!
Hakuna kitu kama hiko unaamua, kujifurahisha, hakuna usela kwenye pesa, Dj Khalid angekuwa na jina kubwa kumzidi Drake, asingetafuta msaada kwa kina Drake, anajua wazi nyimbo itasikilizwa na wengi na pesa yake aliotumia itarudi maradufu, huo uwongo kadanganye watoto wadogo huko ahahahhahaa, kama anajiamini achukue msanii wa kawaida uone kama atalia hasara hapaLeisure yaani anamwaga hela kwa mziki bila kujali. Bora kitu kiwe safi, alafu kushirikisha kina Drake sio kitu kwake, yeye mwenyewe jina kubwa, sasa akimwita drake ni waje wapige dude la kisela, sio ati ako na njaa ya hela.
Huyo Mondi hivi amuite Drake aje wapige goma la kisela, ka vipi haiwezekani. Na akiweza jua katoa hela kibao Mondi tu. Sasa kwake ni hiyo ngoma iwike ndo apate pesa maradufu aka profit, kwa upande mwingine yule bingwa Drake hatojali. Ana hela tayari za kuendelea ku floss! 🤣
Huna hadhi ya kuniita dogo mtu mwanaume anaeshabikia Diamondi namuona ni shoga tuHajalia Ila kawachana ukweli sawa dogo
Angekua ameshushwa Angelia that's why kanye west ana hela chafu Ila pia aliwachana hao Forbes,WCB hatutakagi mazoea.Sasa Dweji kaingilia wapi? [emoji23] Haya huyo Mo, ushamskia akilia lia eti forbes ama magazine yoyote ile imeandika list ya wa wenye hela na yeye kawekwa position isiyokuwa sahihi? Hana time hiyo!
Endelea kukaza fuvuHilo nalo neno
Kutokana na kukaza fuvu wewe Ni dogo sawaHuna hadhi ya kuniita dogo mtu mwanaume anaeshabikia Diamondi namuona ni shoga tu
Hangelia nakwambia, watu wenye hela zao za maana hawana time ya kijinga ka hiyo ya kupiga kelele zisizo na faida kwake. Kanye West anawazimu, Mondi asijilinganishe na yule, ni zaidi ya WCB 😂😂 😂Angekua ameshushwa Angelia that's why kanye west ana hela chafu Ila pia aliwachana hao Forbes,WCB hatutakagi mazoea.
Haya bhana, bakini na Mondi wenyu na visenti vyake, wenzake West A wanavuka anga za juu bila mbwembwe! 🤣Hakuna kitu kama hiko unaamua, kujifurahisha, hakuna usela kwenye pesa, Dj Khalid angekuwa na jina kubwa kumzidi Drake, asingetafuta msaada kwa kina Drake, anajua wazi nyimbo itasikilizwa na wengi na pesa yake aliotumia itarudi maradufu, huo uwongo kadanganye watoto wadogo huko ahahahhahaa, kama anajiamini achukue msanii wa kawaida uone kama atalia hasara hapa
Diamond na mashoga ni the sameKutokana na kukaza fuvu wewe Ni dogo sawa
West A ipi? wakati Davido alimzawadia mwanae wa miaka 5 zawadi ya Gari kwenye birthday yake, sasa mtoto wa miaka 5 na Gari wapi na wapi!! Hizi pia ni mbwembwe sema mmekuwa wavivu kufatiliaHaya bhana, bakini na Mondi wenyu na visenti vyake, wenzake West A wanavuka anga za juu bila mbwembwe! 🤣