Dili la Diamond Platinumz na Warmer Music Group ni dhahiri kuwa big thing is coming

Dili la Diamond Platinumz na Warmer Music Group ni dhahiri kuwa big thing is coming

Huyu jamaa anapiga kelele sana hamna kinachomuonyesha kuwa ana hela vibaya mno zaidi ya kumiliki nyumba mbili tatu na wasafi fm, gari zenyewe ananunua used hapa tanzania tena magari ya zamani anayayafanyia face-lift, anapoishi amepanga n.k hata kama unautajiri lakini hana utajiri wa bilioni 10 - 15, fujo tupu
Kalale inaonekana unamjua sana kuliko hata yeye mwenyewe diamond platinumz Ni RICH na ana nyumba more than 150 endelea kukaza fuvu
 
DJ Khaled ni nigga. Kuwa nigga siyo lazima uwe mweusi.

Leta hapa show offs za Justin Bieber ( hasa kupitia nyimbo zake au maisha yake )
Show off kwa msanii is a brand and a big deal so diamond platinumz Ni genius
 
Yaani nimeangalia post zake yaani anaandika kiushabiki(ni kama zile post za instagram) wakati hii ni jf kiufupi sielewi udaku,uchambuzi ama nini nina uhakika mwenye uzi huu ataukimbia mda si mrefu
Kalale endelea kukaza fuvu [emoji23][emoji119][emoji125]
 
Anaona ana pesa kuliko wasanii wenzake wa hapa bongo.

Huwa namsikia anasema eti nikikwambia mishahara ninayolipa mimi kwa mwezi, ni pesa nyingi.

Sasa unajiuliza Wasafi media siyo mali yake peke yako maana yake hata mishahara huilipi wewe peke yako. Tambo za nini ?

Kinachofanya utake kuonesha kila kitu ni kwa nguvu zako ni nini ?
Diamond platinumz Ni CEO(CHIEF EXECUTIVE OFFICER)
 
Burkinafaso,Guinea Bisau na Gunea Konakry,Sudan,Ethipia,Zambia,Mayotte ,Camaroon ,Madagascar ,Gabon .Ratiba ya mwaka jana Diamond alikuwa na show Mali,Togo na Senegal sema Corona imeharibu.

Hiyo haitoshi imesaini deal ITel mwaka huu kuwa balozi ndani ya nchi tano (Tanzania,Kenya,Uganda,Burkina Faso na Togo).

Nigeria na South alifanya kwa mialiko (sio kama hizo nyingine ambazo alikuwa yeye ndio msanii mkubwa hiyo show),South show ya MTV base x2 na ktk uzinduzi wa BET Africa.
Nigeria alifanya ktk Sound City na kuna show nahisi alialikwa na Iyanya basi.
DIAMOND PLATINUMZ NI G. O. A. T
 
Back
Top Bottom