Dili la Diamond Platinumz na Warmer Music Group ni dhahiri kuwa big thing is coming

Dili la Diamond Platinumz na Warmer Music Group ni dhahiri kuwa big thing is coming

Hao Niggas ni maHip hop na wala siyo matajiri sana kuliko wasanii wengine.

Hizo show offs ni tamaduni tu za Hip hop huko majuu ndio maana mpaka kina 6ix9nine wanafanya.

Ulishawahi kuona msanii wa RnB au msanii Mzungu anafanya huo utaahira???
Nimekwambia DJ Khalid sio Niga, wala Justin Bieber sio Niga, lakini kwa show off hawajambo sana, kwahiyo kujitangaza sio jambo baya kama ambavyo unajaribu kulifanya liwe baya
 
Huyu jamaa anapiga kelele sana hamna kinachomuonyesha kuwa ana hela vibaya mno zaidi ya kumiliki nyumba mbili tatu na wasafi fm, gari zenyewe ananunua used hapa tanzania tena magari ya zamani anayayafanyia face-lift, anapoishi amepanga n.k hata kama unautajiri lakini hana utajiri wa bilioni 10 - 15, fujo tupu
Kwanini unaangaika na kelele zake mpuuze uone kama anaweza kuacha kelele , halafu kwanini ukumkadiria milioni kadhaa ukaangukia kwenye bilioni 10-15?
 
Ngoma ya Davido kuchezwa hot97 hakuna cha ajabu hapo maana wanaenzi culture ya African-American.

Muziki utapenya tutakapoingia kwenye billboard hot 100,American Top 40 za kina Ryan Seacrest na kuchezwa kwenye Media ambazo hazija-base kwenye african culture kama KIIS FM LA Carlifonia.

Wasanii wa UK wanalalamika ilivyongumu kupenya USA ije kuwa hawa wa kiafrica?..huko USA tutasikilizwa na diaspora tu na manigga wanaependa African culture.
Siku zote umaanzia kwenye sifuri hamna alianza kukimbia kabla ya kutambaa,Burnaboy leo ameshirikishwa na Justin Bierber,Davido kashirikishwa na Quavo,Wizkid na Dua Lupa na Wale nk ni ishara mziki wao unasikilizwa japo si kwa kiasi kikubwa ila watu walio wengi wana usikia.

Hata hao UK ndio wanalalamika lkn baadhi ya wasanii wao akina Sam Smith,Addele,Elton John nk wamepenya US.
 
Nimekwambia DJ Khalid sio Niga, wala Justin Bieber sio Niga, lakini kwa show off hawajambo sana, kwahiyo kujitangaza sio jambo baya kama ambavyo unajaribu kulifanya liwe baya
DJ Khaled ni nigga. Kuwa nigga siyo lazima uwe mweusi.

Leta hapa show offs za Justin Bieber ( hasa kupitia nyimbo zake au maisha yake )
 
Basi wengi wetu hatujapita shule, maana post zako zote watu wanalalamika hawaelewi kuwa huwa unamaanisha nini . Nikushauri kitu, ukisikia story kijiweni kabla hujaipost huku kaa chini kwanza na kupangilia story hiyo. ukikimbilia kupost huku unapost upupu.
Yaani nimeangalia post zake yaani anaandika kiushabiki(ni kama zile post za instagram) wakati hii ni jf kiufupi sielewi udaku,uchambuzi ama nini nina uhakika mwenye uzi huu ataukimbia mda si mrefu
 
Huyu jamaa anapiga kelele sana hamna kinachomuonyesha kuwa ana hela vibaya mno zaidi ya kumiliki nyumba mbili tatu na wasafi fm, gari zenyewe ananunua used hapa tanzania tena magari ya zamani anayayafanyia face-lift, anapoishi amepanga n.k hata kama unautajiri lakini hana utajiri wa bilioni 10 - 15, fujo tupu
Anaona ana pesa kuliko wasanii wenzake wa hapa bongo.

Huwa namsikia anasema eti nikikwambia mishahara ninayolipa mimi kwa mwezi, ni pesa nyingi.

Sasa unajiuliza Wasafi media siyo mali yake peke yako maana yake hata mishahara huilipi wewe peke yako. Tambo za nini ?

Kinachofanya utake kuonesha kila kitu ni kwa nguvu zako ni nini ?
 
Yaani nimeangalia post zake yaani anaandika kiushabiki(ni kama zile post za instagram) wakati hii ni jf kiufupi sielewi udaku,uchambuzi ama nini nina uhakika mwenye uzi huu ataukimbia mda si mrefu
Tatizo ni hizi wanazoziita team mond na team kiba, huwa hawaelewi hata ukitaka kuwarekebisha/kuwasaidia
 
Hao hawafanyi brokering kwa kukutafutia wateja. Ni sawa na wewe upeleke bidhaa zako supermarket.

Wamiliki wa supermarket hawawezi kulazimisha wateja wanunue bidhaa zako.

Muziki wa Nigeria uko Marekani kwa kiasi kikubwa kutokana na kwanza ukubwa wa production yao na pili wingi wa Diaspora huko majuu.

Wanigeria wameteka muziki wa Africa na Diaspora wengi sana nje.

Hata msanii wao akienda kufanya shows nje anapata watu wengi sana, Nigerians plus other Africans.

Juzi tu hapa kuna dogo Mnigeria aliuza album ya Wizkid kimagendo kupitia Apple Music na ndani ya muda mfupi alikuwa ameshapata zaidi ya 100M!

Sasa unadhani Wizkid huwa anakunja pesa kiazi gani.

Soko la bongo fleva bado liko nchi chache sana hasa Kenya, Rwanda, DRC, na nchi nyingine chache sana.
Soko ndio lipo kwenye nchi chache sababu wewe mwenyewe hujawa mbunifu ktk kazi zako na hujaamua kujitanua.

Leo Diamond kishapiga show karibia 90% ya nchi zote zili kusini ya jangwa la Sahara (ukiziondoa nchi za kiarabu) na bila Corona sasa hivi angekuwa kwenye 95% na show zake anafanya viwanjani na kwenye kumbi kubwa.Issue ni msanii mwenyewe kwani wengi wameridhika na soko la Africa Mashariki.
 
Soko ndio lipo kwenye nchi chache sababu wewe mwenyewe hujawa mbunifu ktk kazi zako na hujaamua kujitanua.

Leo Diamond kishapiga show karibia 90% ya nchi zote zili kusini ya jangwa la Sahara (ukiziondoa nchi za kiarabu) na bila Corona sasa hivi angekuwa kwenye 95% na show zake anafanya viwanjani na kwenye kumbi kubwa.Issue ni msanii mwenyewe kwani wengi wameridhika na soko la Africa Mashariki.
Ukiachana na Mozambique, Namibia, Zimbabwe, na Malawi. Nitajie nchi nyingine
 
Diamond ameanza kuwa kichaa kama Kanye West.

Kanye West alizoa hadi risiti za mali zake zote akapeleka forbes kuwathibitishia kuwa yeye ni billionnaire.

Mimi naamini tunatafuta pesa ili tutimize ndoto zetu, familia zetu na jamii inayotuzunguka.

Hii hulka ya sasa hivi watu kupambana kwa kila hali kutaka jamii iwaone kuwa wana hela sana na ni matajiri ni ya kiuwendawazimu kabisa.

Watu wakishajua una pesa nyingi, then what ?

You got money, then just live your life.

Why unaumia eti kwasababu Forbes wametaja kiasi ambacho hujaridhika, kwani wamekupora pesa?

Yaani ni sawa leo umkute Bakhresa anabishana na Forbes kwamba pesa walizomkadiria siyo zenyewe. Huu ni utaahira.
Ama umkute Messi au Ronaldo akilalamika kutowekwa kwa list ya wachezaji wenye hela duniani. Huo ni utopolo! 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Kwanini unaangaika na kelele zake mpuuze uone kama anaweza kuacha kelele , halafu kwanini ukumkadiria milioni kadhaa ukaangukia kwenye bilioni 10-15?
Kwa sababu ndicho anacholilia kwamba anawazidi wote wasanii wa nigeria kwa mkwanja, na wa chini katika iyo list wana zaidi ya USD 7.5M
 
Ukiachana na Mozambique, Namibia, Zimbabwe, na Malawi. Nitajie nchi nyingine
Burkinafaso,Guinea Bisau na Gunea Konakry,Sudan,Ethipia,Zambia,Mayotte ,Camaroon ,Madagascar ,Gabon .Ratiba ya mwaka jana Diamond alikuwa na show Mali,Togo na Senegal sema Corona imeharibu.

Hiyo haitoshi imesaini deal ITel mwaka huu kuwa balozi ndani ya nchi tano (Tanzania,Kenya,Uganda,Burkina Faso na Togo).

Nigeria na South alifanya kwa mialiko (sio kama hizo nyingine ambazo alikuwa yeye ndio msanii mkubwa hiyo show),South show ya MTV base x2 na ktk uzinduzi wa BET Africa.
Nigeria alifanya ktk Sound City na kuna show nahisi alialikwa na Iyanya basi.
 
DJ Khaled ni nigga. Kuwa nigga siyo lazima uwe mweusi.

Leta hapa show offs za Justin Bieber ( hasa kupitia nyimbo zake au maisha yake )
Unataka show gani Justin bieber ile New Rolls Royce yake alionunua mwaka huu ni design ya peke yake, hakuna mwenye Gari kama ile kwa maana ya design, unataka show off gani ?
 
IMG_5824.jpg

Hii topic hipo nigeria sasahivi
 
Kwa sababu ndicho anacholilia kwamba anawazidi wote wasanii wa nigeria kwa mkwanja, na wa chini katika iyo list wana zaidi ya USD 7.5M
Kwanini sio milioni , kulilia sio sababu unatakiwa uje na uhalisia wako
 
Nimekwambia DJ Khalid sio Niga, wala Justin Bieber sio Niga, lakini kwa show off hawajambo sana, kwahiyo kujitangaza sio jambo baya kama ambavyo unajaribu kulifanya liwe baya
Ok, ni ma G aka gangsters 😂wamekulia amongst black culture that's why wana floss hivyo. Iko kwa damu, sio kitu kimeletwa na pesa. Hata wale wa kule Bronx au Chiraq pahali utapata hata wasio na chitu yaani broke asf, bado wana floss, sababu ni culture.
 
Back
Top Bottom