Dili la Diamond Platinumz na Warmer Music Group ni dhahiri kuwa big thing is coming

Napenda the way una data! You are the first I've seen unamfahamu ryan sea crest

Uptop
 
Unataka show gani Justin bieber ile New Rolls Royce yake alionunua mwaka huu ni design ya peke yake, hakuna mwenye Gari kama ile kwa maana ya design, unataka show off gani ?
Wewe jamaa ni mpuuzi, mtu kununua gari la kutembelea ni show offs ?
 
Burkinafaso,Guinea Bisau na Gunea Konakry,Ethipia, ,Camaroon ,Madagascar ,Gabon .
Kwahiyo hii ndio 80% ya Africa?

Anyway, Weka hizi shows 👆👆

Hizo nyingine ni bla bla zisizo na kichwa waka miguu.
 
Ahahahahahaha wale weusi wenzetu, hakuna ubaya kuishi kwenye hiyo culture boss
 
Nimekwambia DJ Khalid sio Niga, wala Justin Bieber sio Niga, lakini kwa show off hawajambo sana, kwahiyo kujitangaza sio jambo baya kama ambavyo unajaribu kulifanya liwe baya
Huyo mshamba mwambie , kwenye mziki bila show off huchomoki ,music is about fame , labda kama unafanya biashara na mziki unafanya for leisure .....!!!
 
Wewe jamaa ni mpuuzi, mtu kununua gari la kutembelea ni show offs ?
Nimekwambia kuna show off ya maneno na vitendo, Kuna mtu aongei lakini matumizi yake unajua kuwa huyu Mwamba pesa ipo, ndicho alichofanya Justin bieber kununua Gari ambayo hakuna mwenye nayo duniani zaidi yake kwenye design lengo tujue kuwa pesa anayo, wewe unafikiri angenunua Gari ya kawaida kuna mtu angeshtuka kama walivyoshtuka kusikia Justin kanunua Gari ya kipekee duniani? soma vizuri uelewe usikurupuke
 
Huna akili.
 
Huyo mshamba mwambie , kwenye mziki bila show off huchomoki ,music is about fame , labda kama unafanya biashara na mziki unafanya for leisure .....!!!
Sasa wale jamaa wa west kama Ross na Khaled, mziki kwao ni leisure. Yaani wanabonga utopolo wao, jioni kauza mamilioni kuanzia online hadi kila kona. Haya mondi afanye leisure sasa, hahaha! 🤣
 
Mwanamziki analilia awekwe forbes
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…