Dili za Mtandaoni/Online deals(special threads)

Dili za Mtandaoni/Online deals(special threads)

Hizi zina pesa ndefu ndio maana wanataka na picha
poa mzee naona wananiuliza maswali..mara take photooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Screenshot_2019-01-02-23-20-25.jpeg
 
Taratibu za kujiunga zipoje mzee na sisi tuje huko
Picha ya kwanza ni malipo niliyopokoa kupitia payoneer kutoka makampuni mabalimbali kama appen, kentar, meelan picha ya pili ni malipo niliyopokea kutokana na kazi za freelancing freelancers.com, malipo ya tatu ni malipo niliyopokea kupitia paypal kutokana na kuongelea masuala ya artificial intelligence huko perks.com. Zote ni kazi amabzo zinajirudia yani nazifanya kila mwezi
 
Je ungependa kuifahamu na kujifunza kuhusiana na forex trading biashara ambayo inaweza kukutajirisha kwa muda mfupi [emoji857][emoji857][emoji857][emoji857][emoji857]

Jiunge sasa na group hili la whatsapp uweze kupata msaada kuhusiana na forex.. Ni bureeee kabisaa

Fx_Money Makers
 
Asante,fx naonaga kama kubet tu
Je ungependa kuifahamu na kujifunza kuhusiana na forex trading biashara ambayo inaweza kukutajirisha kwa muda mfupi [emoji857][emoji857][emoji857][emoji857][emoji857]

Jiunge sasa na group hili la whatsapp uweze kupata msaada kuhusiana na forex.. Ni bureeee kabisaa

Fx_Money Makers
 
Swali 1 =20×100= ukiwa umelala tu yan!!!! Unakosaje iyo
Screenshot_2019-01-03-11-58-02.jpeg
Screenshot_2019-01-03-11-59-17.jpeg
 
Mkuu heshima yako kwa uzi huu...saivi hata hela ya umeme premise watanilipia
 
Back
Top Bottom