Dillemma!

Dillemma!

Mahondaw

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
67,252
Reaction score
168,563
As heading inavojieleza mwenzenu nashindwa kuyaelewa mapenzi, hivi bora nifurahi kwa muda fulani na nikose amani maishani mwotee ama vice versa is true?

Kwa sababu mpenzi wangu tunatofautiana interests kabsiaa yani kila kukicha ni kugombana but kunako 6*6 ni fundi haswaa really ananimarrlliza na kuniacha hoi!.

Sasa anataka akanitambulishe kwao, je nitaishije na mwanaume ambaye nahisi hanipi amani ninachofurahia kwake ni tuwapo kitandani tu na life is not only about kugegedana.?

Hata sijui yani ushauri pls!
 
wazee mdemu wangu umegoma kwenda kupima HIV, malumbano hayaishi eti simuamini!
 
Kumwkucha! Bora mimi na baby wangu tunaiva kote kote! Ngoja kwanza nitulize kichwa nitarusi kutoa hoja BINAFSI!
 
sex inaenda na umri.... itafika wakati utasahau kama mna vifanyio. tafta anaekupa furaha na amani ya roho. achana na hizo bao unazopigishwa kitandani. maisha ni zaidi ya sex.
Acha KUPOTOSHA UMA NA KUMDANGANYA MWENZIO! Ingekuwa hivo mngekuwa waumini wa FREE P? Weeweeeeeeee! Kale kamchezo kana utamu wake!

Ndo kuna mtu kaolewa na Gay guy anatupiaga hio LIFE IS MORE THAN SEX! My big black a.ss!! Mwaya kitandani ni kamilisho la upendo!
 
A very good question

mwanzoni ilikua ngumu kujua baadhi ya tabia na mambo yake kiujumla kwa sababu hakujionyesha but as days goes nadiscover vitu tofauti na nilivyotarajia... clear??????
 
Nionavyo you are one hell of an UNGRATEFUL B. so full of your self unamuona mwenzio bado sanaaaaa, theonly area ambayo umeshindwa kumshusha thw guy ni expertise yake, kama Mh. Machemlikibatari. Ila sehemu zingine the guy doesnt stand a chance in your heart! Ushajitune mind yako hivo, huyu ni jogoo la shamba!
GIVE HIM A CHANCE, A FAIR CHANCE TO PROVE YOU WRONG! You will be surprised! Unaweza kumodify utakavyo awe! Usione waume za watu wanapiga pensi na Pollo tshirt wamekaa bar, na Samsung Note 3 kubwaa ukajiswme his is my dream man,, nywele saluni every week kusawazisha, ukajua walikutana hivi, walikutwa wanavaa wanichoma kumoyo na kuchomekea shir kwenye suruali, bia hawaonji, nywele afro! Wanawake wenzoo jasho limewatoka si utani!
 
mwanzoni ilikua ngumu kujua baadhi ya tabia na mambo yake kiujumla kwa sababu hakujionyesha but as days goes nadiscover vitu tofauti na nilivyotarajia... clear??????

fanya maamuzi magumu now tumia tu busara...mwambie not the right moment now so utaendelea having sex while unapanga plan b taratibu....
 
Acha KUPOTOSHA UMA NA KUMDANGANYA MWENZIO! Ingekuwa hivo mngekuwa waumini wa FREE P? Weeweeeeeeee! Kale kamchezo kana utamu wake!

Ndo kuna mtu kaolewa na Gay guy anatupiaga hio LIFE IS MORE THAN SEX! My big black a.ss!! Mwaya kitandani ni kamilisho la upendo!

teheeeeee!!!!! sex na pesa unachagua nin?
 
najiuliza tu... unaweza toka kwako mshatibuana ila ukifika kitandani hasira zote kwishney?? mmh. mi nikishagombana mizuka yote inakatika na mechi lazma ihairishwe.
 
teheeeeee!!!!! sex na pesa unachagua nin?
It depends! If i must i go for GOOD SEX! Hela unaweza kuchuna kiurahisi kwa wakuja yeyote but GOOD SEX these days aint easy to get any!
 
It depends! If i must i go for GOOD SEX! Hela unaweza kuchuna kiurahisi kwa wakuja yeyote but GOOD SEX these days aint easy to get any!

yaani jibu lako inaonesha unachagua pesa...... mpaka umepata na alternatv ya kudaka mkwanja. gud sex mbona inapatkana tu..... jitaftie kijana uone mambo. achana na vibabu.....(joke).
 
sex inaenda na umri.... itafika wakati utasahau kama mna vifanyio. tafta anaekupa furaha na amani ya roho. achana na hizo bao unazopigishwa kitandani. maisha ni zaidi ya sex.

sure kabisa na huwa natafakari na kuamua kumuacha kwa % percent but.. but when i think of sex i just find myself crying because kwa ufahamu wangu he is mkunaji zaidi ya wote niliowahi kuwa nao uuuh..
 
sure kabisa na huwa natafakari na kuamua kumuacha kwa % percent but.. but when i think of sex i just find myself crying because kwa ufahamu wangu he is mkunaji zaidi ya wote niliowahi kuwa nao uuuh..

hiki ndicho kinachowaponza wasichana......... comparison.
 
na utatoka CCM kumfuata CHADEMA ?au bado utaenda vikao vya CCM na Vin Diesel?
HAHAHAAAAAAAAA! Sasa huu uchochezi mkuu! Nitaamia CUF ili kuondoa conflict of interest!

On second thoughts nitabakia CCM ila ndo Vindesel atakuwa ananibania si utani, maake kama mtanzania, hata nikowa mke wa Matola nina haki ya kikatiba kuchagua chama nachokipenda!

Uchama mwisho mlangoni!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom