Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
As heading inavojieleza mwenzenu nashindwa kuyaelewa mapenzi, hivi bora nifurahi kwa muda fulani na nikose amani maishani mwotee ama vice versa is true?
Kwa sababu mpenzi wangu tunatofautiana interests kabsiaa yani kila kukicha ni kugombana but kunako 6*6 ni fundi haswaa really ananimarrlliza na kuniacha hoi!.
Sasa anataka akanitambulishe kwao, je nitaishije na mwanaume ambaye nahisi hanipi amani ninachofurahia kwake ni tuwapo kitandani tu na life is not only about kugegedana.?
Hata sijui yani ushauri pls!
Kwa sababu mpenzi wangu tunatofautiana interests kabsiaa yani kila kukicha ni kugombana but kunako 6*6 ni fundi haswaa really ananimarrlliza na kuniacha hoi!.
Sasa anataka akanitambulishe kwao, je nitaishije na mwanaume ambaye nahisi hanipi amani ninachofurahia kwake ni tuwapo kitandani tu na life is not only about kugegedana.?
Hata sijui yani ushauri pls!