qn of sheba
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,230
- 1,380
Siku hizi leo tens imepoa sana hongera zake huko aendako
Mi napenda hekaheka na Gea Habib kwa hy hata Dina asipokuwepo naona sawa.
[/QUOTE]Hekaheka ipo kila siku. Tena ndiyo iliyobeba kipindi kizima. Gea ananifurahishaga sana akuuli visa mbalimbali vya hili jina.Na yule bi Ponza anavyotoa makavu live. j[QPUOTE=Gossipcopwarumi;9494707]Kweli kabisa hekheka ni Nouma full maudaku
Yaan kipind kile binamu heka heka ilikuwa inaonga full mautamu , nilikuwa napenda jins walivyokuwa wana balance story yaan wahusika wote mnawekwa mtu kati
Samahani wadau nauliza tu DINNA alivyosema alikuwa mtangazi no mbili kwa kupendwa TZ NZIMA KUTOKANA NA research JE wa kwanza ni nani? karibu WARUMI KUNIJIBU.
hahaha umelipendaa ehhh nikuachieJina lako limevutia moreen baby wangu...
hahaha umelipendaa ehhh nikuachie
Anaweza kuwa "KIDUME MWENZIO" Jiangalie!Niachie moyo wako..
Anaweza kuwa "KIDUME MWENZIO" Jiangalie!
Nimesikia alishafunga ndoa na ncha kali sijui kweli au uzushi wa watu.
Hawajafunga hata kwanza Ruben ni player mno na hadi mwaka jana walikuwa wamegombana, naona walupopatana Dina akaamua kutegesha maana baada ya ujauzito na kujifungua Nchakali ndo akajirudi na kumuomba msamaha Dina na sasa wanaishi pamoja.