Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
uuuuuupsi mbavu zangu nikikumbuka ule uzi nacheka sana jf jamani inanipa raha hta upweke hakuna...
mmi ndo nilikuwa na kkundi cha kuomboleza kulia hadi kuzimia na kuimba
pole sana kwa shemeji kukumaind kwa maana ule uzi ulikuwa so hot
Siku hiyooo angekufa Umu tungepata helaa maana tulijipanga akaghairi kufaaa dadaadekiii