Dina Marios aacha rasmi kutangaza Leo tena

Dina Marios aacha rasmi kutangaza Leo tena

uuuuuupsi mbavu zangu nikikumbuka ule uzi nacheka sana jf jamani inanipa raha hta upweke hakuna...

mmi ndo nilikuwa na kkundi cha kuomboleza kulia hadi kuzimia na kuimba
pole sana kwa shemeji kukumaind kwa maana ule uzi ulikuwa so hot

Siku hiyooo angekufa Umu tungepata helaa maana tulijipanga akaghairi kufaaa dadaadekiii
 
Kwi kwiiii kwiiii, dah ongea n shemej bna ajue kabisa hii ndo kaz uliyoichagua n kuipenda kwa moyo wote , so inabid atoe ushirikiano

We akiwepo humu sigusiii nikose umotoooo mie halaf si unajua umoto unatofautianaa achaaaa kabisa
We furah tu nimo siku akisema stop kuingia jamiu hunionii hapo ni kwingineee hapana chezeaaaa
 
We akiwepo humu sigusiii nikose umotoooo mie halaf si unajua umoto unatofautianaa achaaaa kabisa
We furah tu nimo siku akisema stop kuingia jamiu hunionii hapo ni kwingineee hapana chezeaaaa

Mmh jinsi umbea ulivyokuingia kwenye damu utaacha jf kweli? Maana umbea wa vibarazani umeshapitwa na wakat
 
Umbea mtamu uongo majanga kusutwaaa majaaliwaaaaa

Acha tu, maana hata uko siasan wanaongea umbea tu, sema tofaut ya umbea wao ni wa kisiasa sisi wetu wa wasanii, ila jukwaa la siasa na celebrity forum ndio yanaongoza kwa umbea binamu
 
Acha tu, maana hata uko siasan wanaongea umbea tu, sema tofaut ya umbea wao ni wa kisiasa sisi wetu wa wasanii, ila jukwaa la siasa na celebrity forum ndio yanaongoza kwa umbea binamu

Alaaa watuwaacheeeeeee
 
Back
Top Bottom