Dina Marios afunguka bifu lake na Zamaradi Mketema

Hahhahaha! Ww ni aina ya watu wanaopenda umbea sana ila huwa wanashindwa kuuliza kuogopa kuonekana namna gan vip unaishia kujificha kwenye maswal...
na huupat ukwel ng'oooooo

Temana nae huyo
Utakesha na kuuliza vidole bila sababu ya msingi
 
Dina.....watangazaji wenye vipaji kama wewe tumia kipaji chako vyema kwa kutengeneza vipindi vya tv au kufanya kazi redio zingine...tafuta kazi kwingine songa mbele...... pole sana kwa yote......
 
Aende sehemu nyingine kutafta life ni popote hata akirudi sidhani ka atakua na amani huyo Ruge ni mzee wa revenge sana huyo.Tena Dina ni mtangazaji mzuri tu atafanikiwa kokote.

Kwa uzoefu na kipaji cha Dina hawazi kukosa kazi Tanzania, labda kama ameamua kufanya shughuli zake mwenyewe

BTW niliona kama kuna mahali umeandika kwamba yuko capital au?
 
Kwa uzoefu na kipaji cha Dina hawazi kukosa kazi Tanzania, labda kama ameamua kufanya shughuli zake mwenyewe

BTW niliona kama kuna mahali umeandika kwamba yuko capital au?

Aondoke tu pale aisee huwezi kuwa unafanya kazi huna amani aondoke tu.
Yeah Dina nilisikia anatangaza capital redio. Ingawa sijawahi kuisikiliza mda mrefu.
 
Kwa uzoefu na kipaji cha Dina hawazi kukosa kazi Tanzania, labda kama ameamua kufanya shughuli zake mwenyewe

BTW niliona kama kuna mahali umeandika kwamba yuko capital au?

Tutamsapoti wambea wenzie, asikate tamaa tupo pamoja nae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…