🤣 🤣 🤣 🤣 umekuja haraka haraka kukanusha kwamba Dina anayeongelewa sio wewe
Haaha[emoji1787][emoji1787][emoji28]Mtu yupo kama kitimotoo alafu anavaaa ovyoo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
nadhan alitania mim sio mtangazaji
Ila mavazi kuvaa hovyoo bila mpangilio tunaendanaa aisee
Basi kina Dina wengi kama sio wote, mnaendana u-hovyo wa mavazi!!
Wanamdiscuss Dina Mario ndio Nikakumbuka kuna mtu anaitwa Ncha Kali.Naam, mimi hapa.... kuna habari gani Mzee!
😂😂Watu mna muda wa kuchezea, sasa wewe maisha yake yanakuhusu nini..!?
Mwache aishi apendavyo na impendavyo mwenzi wake..
Sent from my iPhone using Tapatalk