Multiple Myeloma
JF-Expert Member
- Jun 17, 2016
- 466
- 393
hizi style za kuweka PROFILE tata aisee anyway goodluck
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hiv hawa ma manzi mshakutana nao?Laiti ningepewa walau sekunde moja ningekuambia vile nakuhusudu toka nikujue hapa jf!!!
Nitahitaji wino wa wingi wa bahari kukueleza mahaba yangu kwako!
Unanijia ndotoni nilalapo niamkapo natembea nawe moyoni
Uendelee kupona haraka nije nikuambie jambo flani
Na mimi nipo ?hiv hawa ma manzi mshakutana nao?
kuna kazi 3 nimeweka karibuni hapa jukwaani zinamakelele hizo kila jukwaa zipo na zinasifiwa kweli bt kazi za kawaida sana tofaut na sifa wanazopewa hapa.
[HASHTAG]#hoply[/HASHTAG] ntaandika uzi kuhusu wao.
Biashara hiyo karibuhahahaha we jamaa nguruwe haramu humu..., em tulia bana
nope,bt pc yako niliona kwa mwana nikaon ni illusion.Na mimi nipo ?
Mnasambaziana picha waoo mna uhakika ni sie?nope,bt pc yako niliona kwa mwana nikaon ni illusion.
nimekwambia ni wewe na 'sie' hiyo wingi unajijumlisha na nan?Mnasambaziana picha waoo mna uhakika ni sie?
Nafurahi kama na wewe umepata huo mfadhaiko..Mana Mimi ulikuwa unanisumbua kweli..Njoo tutibianeJirani nikikuona tu moyo wangu una mwemwereka wenyewe
Oooh sawa usiziamini wanadanganya watu huko,,nimekwambia ni wewe na 'sie' hiyo wingi unajijumlisha na nan?
hizo kazi nilizokutajia nimekutana nazo kabisa yaan hata sikutegemea na hayo majina yao jukwaani na mbwembwe zao kibao.....sema kazi nyingi jf mbovu/za kawaidaOooh sawa usiziamini wanadanganya watu huko,,
Jamani utuonewa kawaida ili ukikutana na mtu uone kawaida tatizo mnawaumba watoto wa watuhizo kazi nilizokutajia nimekutana nazo kabisa yaan hata sikutegemea na hayo majina yao jukwaani na mbwembwe zao kibao.....sema kazi nyingi jf mbovu/za kawaida
Angalau sasa leo nitalala usingizi wa maana jiraniNafurahi kama na wewe umepata huo mfadhaiko..Mana Mimi ulikuwa unanisumbua kweli..Njoo tutibiane
hahhahaha wa kawaida sana bt jukwaani wanajijitumua.Jamani utuonewa kawaida ili ukikutana na mtu uone kawaida tatizo mnawaumba watoto wa watu
Unataka wakose vyote,,hata wanaume wa humu nao mmmh tunyamaze tu ahahhahhahaha wa kawaida sana bt jukwaani wanajijitumua.
Jirani..Angali nipo hapa duniani..Sitaruhusu upate shida yeyote..We niite tu anytimeAngalau sasa leo nitalala usingizi wa maana jirani
Villa sijakanyaga sikunyingi,ongeza caskNenda Mwanza kwenye hivi viwanja vyake humkosi
Villa park
Tilapia
Club 55
Golden crest
Fussion