Dinazarde yuko wapi????

Wasaalam,

namtafuta shoga angu Dinazarde jamani, maana kuna issue tuliwasiliana
nae baada ya hapo naona kimyaaaaaaa... alie na mwasiliano
nae pls naomba ani Pm.. ni muhimu

Wasaalam
HoE.
Jana alikuwa Mama John pale Mjini Mbeya, leo atakuwa nane nane kwa John Mwakangale
 
Yaani mpaka waniombe msamaha kwa kweli waliniaibisha aisehhhh mimi nachangia sijui mtu sasa kumbe kikawa kinawakera. Walinitukana nikakimbia jf kwa muda kukwepa aibu
haa aa eti ukakimbia Jf kwa muda ilikua mada gani hiyo????
 
Yaani mpaka waniombe msamaha kwa kweli waliniaibisha aisehhhh mimi nachangia sijui mtu sasa kumbe kikawa kinawakera. Walinitukana nikakimbia jf kwa muda kukwepa aibu
hhhhaaaaahhhhaaa!!jamani loohh!
 
Yaani mpaka waniombe msamaha kwa kweli waliniaibisha aisehhhh mimi nachangia sijui mtu sasa kumbe kikawa kinawakera. Walinitukana nikakimbia jf kwa muda kukwepa aibu
Pole mwaya
 
Kafanyaje tena jamani?
Matumizi ya Lugha ya matusi.. Yeye na mwenzie wote walitumikia adhabu kwa kushindwa kuhimili hisia zao kwenye public domain na kufikia hatua ya kutukanana.

Ni busara kuripoti pale mtu unapokwazwa na mwingine nasi tutatafuta suluhu. Si vyema kutukanana mitandaoni. Sheria za JF na hata za nchi haziruhusu.

Hata hivyo yuko huru sasa.

Asante.
 
Asante kwa ufafanuzi boss...
 
ndo maana Gobe analalamika
 
ndo maana Gobe analalamika

Huyo Dinazarde mi nishamsamehe kwa kweli sina shida naye tena jamani. Unajua huku jf niko na Baba yangu wa kunizaa pamoja na Mama yangu ukitukana sasa unategemea nini maana Wazazi wote wananiona kinachofuata kugombezwa sasa na umri huu nigombezwe si bora nijifiche aibu ipite

btw karibu sana mpendwa pole na ban naomba tusamiane tulipokwazana Dinazarde
 
Thats Manhood!
 
sound good
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…