Dinazarde yuko wapi????

Dinazarde yuko wapi????

Matumizi ya Lugha ya matusi.. Yeye na mwenzie wote walitumikia adhabu kwa kushindwa kuhimili hisia zao kwenye public domain na kufikia hatua ya kutukanana.

Ni busara kuripoti pale mtu unapokwazwa na mwingine nasi tutatafuta suluhu. Si vyema kutukanana mitandaoni. Sheria za JF na hata za nchi haziruhusu.

Hata hivyo yuko huru sasa.

Asante.
Kazi nzuri mods,

Alitukanana na nani.?
 
Huyo Dinazarde mi nishamsamehe kwa kweli sina shida naye tena jamani. Unajua huku jf niko na Baba yangu wa kunizaa pamoja na Mama yangu ukitukana sasa unategemea nini maana Wazazi wote wananiona kinachofuata kugombezwa sasa na umri huu nigombezwe si bora nijifiche aibu ipite

btw karibu sana mpendwa pole na ban naomba tusamiane tulipokwazana Dinazarde
[quote uid=132738 name="Heaven on Earth" post=17131831]haaaaa Gobe wasamehe bure jamani... huyo mwingine umemsahau jina[/QUOTE]<br /><br /><br />Yaani mpaka waniombe msamaha kwa kweli waliniaibisha aisehhhh mimi nachangia sijui mtu sasa kumbe kikawa kinawakera. Walinitukana nikakimbia jf kwa muda kukwepa aibu
 
Wasaalam,

namtafuta shoga angu Dinazarde jamani, maana kuna issue tuliwasiliana
nae baada ya hapo naona kimyaaaaaaa... alie na mwasiliano
nae pls naomba ani Pm.. ni muhimu

Wasaalam
HoE.
Nimefunguliwa ,,,,uko poa lakini,ngoja nikuje kule pm shogaa nimekumiss mbayaaaa
 
Yaani mpaka waniombe msamaha kwa kweli waliniaibisha aisehhhh mimi nachangia sijui mtu sasa kumbe kikawa kinawakera. Walinitukana nikakimbia jf kwa muda kukwepa aibu
Naomba nisamehe mpenzi[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Matumizi ya Lugha ya matusi.. Yeye na mwenzie wote walitumikia adhabu kwa kushindwa kuhimili hisia zao kwenye public domain na kufikia hatua ya kutukanana.

Ni busara kuripoti pale mtu unapokwazwa na mwingine nasi tutatafuta suluhu. Si vyema kutukanana mitandaoni. Sheria za JF na hata za nchi haziruhusu.

Hata hivyo yuko huru sasa.

Asante.
Mwenzangu nani huyo?maana nishasahau
 
Huyo Dinazarde mi nishamsamehe kwa kweli sina shida naye tena jamani. Unajua huku jf niko na Baba yangu wa kunizaa pamoja na Mama yangu ukitukana sasa unategemea nini maana Wazazi wote wananiona kinachofuata kugombezwa sasa na umri huu nigombezwe si bora nijifiche aibu ipite

btw karibu sana mpendwa pole na ban naomba tusamiane tulipokwazana Dinazarde
Asanteeeeeeeee
 
Back
Top Bottom