Dinazarde yuko wapi????

Kazi nzuri mods,

Alitukanana na nani.?
 
Ni nani kwanza au ni kati ya mods wa humu??!
 
[quote uid=132738 name="Heaven on Earth" post=17131831]haaaaa Gobe wasamehe bure jamani... huyo mwingine umemsahau jina[/QUOTE]<br /><br /><br />Yaani mpaka waniombe msamaha kwa kweli waliniaibisha aisehhhh mimi nachangia sijui mtu sasa kumbe kikawa kinawakera. Walinitukana nikakimbia jf kwa muda kukwepa aibu
 
Wasaalam,

namtafuta shoga angu Dinazarde jamani, maana kuna issue tuliwasiliana
nae baada ya hapo naona kimyaaaaaaa... alie na mwasiliano
nae pls naomba ani Pm.. ni muhimu

Wasaalam
HoE.
Nimefunguliwa ,,,,uko poa lakini,ngoja nikuje kule pm shogaa nimekumiss mbayaaaa
 
Yaani mpaka waniombe msamaha kwa kweli waliniaibisha aisehhhh mimi nachangia sijui mtu sasa kumbe kikawa kinawakera. Walinitukana nikakimbia jf kwa muda kukwepa aibu
Naomba nisamehe mpenzi[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Mwenzangu nani huyo?maana nishasahau
 
Asanteeeeeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…