madeinmusoma
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 324
- 387
Muda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONE....
Wanakuwaga wapole sana aisee unaweza hata kumuagiza maji ya kunywa akakuletea....
Wanakuwaga wapole sana aisee unaweza hata kumuagiza maji ya kunywa akakuletea....