madeinmusoma
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 324
- 387
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Muda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONE....
Wanakuwaga wapole sana aisee unaweza hata kumuagiza maji ya kunywa akakuletea....
akishaelewaHa ha ha..lakini akitoka anabadilika kama sio yeye vile
ndoo hivyoha ha ha ha
Aisee hii kaleewMuda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONE....
Wanakuwaga wapole sana aisee unaweza hata kumuagiza maji ya kunywa akakuletea....