DINGI

Muda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONE....

Wanakuwaga wapole sana aisee unaweza hata kumuagiza maji ya kunywa akakuletea....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaha
 
Mi dingi tumezoean kitambo tuu....na hizo simujanja kashazikataaga kitambo....anasema hazina cha kubonyezea
 
nakumbuka kipindi namfundisha gari dingi dah unaweza cheka amekua mpole hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…