• Hatuwezi kuwa Matajiri kwa sababu Africa akili hamnaKwann tusiwe matajiri hali still utajiri tele umebakia hata robo hawakuumaliza.
Nchi ya kwanza Dunia kwa utajiri mali ni congo,tza ya kumi hapa shida ni sisi.
Dini imeleta ustaarabu na chanzo cha maendeleo ya ulaya na uarabuni
Na ni uhuni uliopitiliza, ila kwa vile kichwa cha mwa Africa kilivyo mwenda wazimu, hata useme vipi.. Hawawezi kuelewa.. 😢😢unafikra kama zangu,dini ni uhuni wa watu weupe kutupoteza waafrika
By the way mbingu ziko saba...sio lazima ukae floor ya juu..hata ground floor inatosha
😀 sawa sawaBy the way mbingu ziko saba...sio lazima ukae floor ya juu..hata ground floor inatosha
Nusu ya watanzania awafuati dini lakini wengi wao mafukara hata na wewe ukiwemoHii ni kwa sababu Ili uwe tajiri ni lazima utawaliwe na ubinafsi kwanza. Kama ukifuata dini kwamba usaidie wahitaji ipasavyo hautaweza kukusanya Mali au fedha kwa kuwa wahitaji ni wengi mno
Waafrika tumefanyiziana ushenzk sana watu waliuwana mbaya Koo kwa Koo kabila kwa kabila,kabla ustaarabu ( dini na elimu).• Hatuwezi kuwa Matajiri kwa sababu Africa akili hamna
• congo, utajiri upo ardhini lakini siunaona wanavyo pelekeana moto, ( rangi nyeusi kwa nyeusi, wamekuwa vibaraka wa mzungu, ni tosha kabisa kusema Africa akili hamna)
• Aman gani dini imeleta! kwani kabla ya Dini, amani haikuwepo???
• Hao wazungu na waarabu walijuaje kuwa Africa hakuna Amani.??
• Kwa sababu kipindi hicho tulikuwa manyani, ubongo ulikuwa mzito Zaidi.Waafrika tumefanyiziana ushenzk sana watu waliuwana mbaya Koo kwa Koo kabila kwa kabila,kabla ustaarabu ( dini na elimu).