Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna Mwanadamu au kiumbe anayeweza kuwafikia wahitaji wote ila wasaidie wahitaji wote kadri uwezavyo utayaona maajabu ya kutoaUnamaanisha amewafikia wahitaji wote?
Ndo maana wazungu wanatoa misaada ili wachukue baraka zetu wazidi kuwa matajiri hii ni universe laws of attractionKwa kadiri unavyotoa ndivyo unavyopata
Alitoa sehemu isiyo sahihiWakati mwingine inabidi uchanganye na zako, ukienda kuchwakichwa umeliwa. Kuna dada mmoja aliuza biashara ya vyombo, kapata faida elfu 10, kaenda fasta kutoa fungu la kumi. Kesho yake anatuambia tumlipie hana hata mia. Niliishia kucheka tu.
Yapi kwa mfanoWanafuata maagizo yote ya dini?
Hii ni pure physics.utowe ili uingize
kua tajiri au maskini ni hiari na uamuzi wako binafsi...Hii ni kwa sababu Ili uwe tajiri ni lazima utawaliwe na ubinafsi kwanza. Kama ukifuata dini kwamba usaidie wahitaji ipasavyo hautaweza kukusanya Mali au fedha kwa kuwa wahitaji ni wengi mno
Hao ni WajasiriadiniKwani ujawaona kina mwamposa,Geodave,gwajima,buhiri,nk ni matajiri
Utawamaliza wahitaji?
Hii ni kwa sababu Ili uwe tajiri ni lazima utawaliwe na ubinafsi kwanza. Kama ukifuata dini kwamba usaidie wahitaji ipasavyo hautaweza kukusanya Mali au fedha kwa kuwa wahitaji ni wengi mno
kutumikia wananchi na waTanzania wote na kuwaletea maendeleo...We umeamua kua nani?
• Dini ni upumbavu wa level ya juu,Mbona ulaya na uarabuni wao ni matajiri au Biblia na Quran zao ni tofauti na zetu.
Pili nani kakuambia mwafrika kashika dini waafrika wenye dini ni wachache kuliko wasio kwenye dini
Kwann tusiwe matajiri hali still utajiri tele umebakia hata robo hawakuumaliza.• Dini ni upumbavu wa level ya juu,
• Hao walioleta dini hapa Africa, ingelikuwa bado wapo wanastahili kubanikwa kwenye moto mkali hadi wanakata Roho.
• Ni mungu wa aina gani huyo, atoke ulaya, uarabuni alafu aje Africa kwa njia ya makaratasi?
• Utajiri wa Huko ulaya, unatoka huku huku Africa, hakuna sehemu nyingine... Na imani/Dini zao zinatumika kwa akili siyo kwa mihemko.
[ Africa is dark content na itaendelea kuwa dark content × 4 ]
Kwenye vipengele hivi, muafirika Huwezi kumtoa hata iweje
. Dini
. Ngono
Sasa hivi tunaelekea huku 👇
. Ushoga > nguvu kazi hamna > kutawaliwa mara ya pili tena.
Mkuu, achana na dini za maboti.....hizi dini hufanya Watu kuwa wajinga tena kimakusudi tu. Ni laana tupu Mwafrika kuabudu hizi dini.Hii ni kwa sababu Ili uwe tajiri ni lazima utawaliwe na ubinafsi kwanza. Kama ukifuata dini kwamba usaidie wahitaji ipasavyo hautaweza kukusanya Mali au fedha kwa kuwa wahitaji ni wengi mno
unafikra kama zangu,dini ni uhuni wa watu weupe kutupoteza waafrikaDini imeletwa Africa kwa ajili ya kuendelea kudumisha umaskini... Hakuna kingine zaidi ya hapo.