Dini imemuangalia zaidi mwenye mafanikio, tajiri na kumkandamiza maskini na mwenye matatizo

Dini imemuangalia zaidi mwenye mafanikio, tajiri na kumkandamiza maskini na mwenye matatizo

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Ukijaribu kupitia pitia dini zetu kiufupi zipo kwa ajili ya mafanikio na tajiri sio kwa maskini na mwenye matatizo.

Mafanikio na utajiri ndio yana kubeba kupitia dini viongozi wa dini watakuombea na kukubari kuja kwako ukilinganishana na maskini.

Nilishangaa kwa waislamu msaani domo dini yake iruhusu kuzaa bila ndoa ila ndio wamejazana hapo mpaka na dua zinapigwa.

Viongozi wa dini wanafata watu wenye pesa na mafanikio, leo subiri uwe tajiri utawaona wanavokuja kwako hoo sijui silimu, sijui okoka, sijui sali sana, sijui wewe, ili mradi tu. Huku makanisani na misikitini wenyemafanikio na matajiri uwezi kusikia wamenyooshewa mikono wala kuwajibishwa.

Mnakumbuka kile kisa cha bakwata kuuza eneo kumpa Yusuph Manji kaenda kuadabishwa maskini mponda.
 
"Nilishangaa kwa waislamu msaani domo dini yake iruhusu kuzaa bila ndoa ila ndio wamejazana hapo mpaka na dua zinapigwa"

Hapo ulikuwa unakusudia nini?
 
Kule kama huna kitu we ni mdhambi tu, ukijitia mjuaji wa neno la mungu halafu unawabanabana viongozi wanakusingizia ni mzinzi au mchawi kisha wanakutimua
 
Ukijaribu kupitia pitia dini zetu kiufupi zipo kwa ajili ya mafanikio na tajiri sio kwa maskini na mwenye matatizo.

Mafanikio na utajiri ndio yana kubeba kupitia dini viongozi wa dini watakuombea na kukubari kuja kwako ukilinganishana na maskini.

Nilishangaa kwa waislamu msaani domo dini yake iruhusu kuzaa bila ndoa ila ndio wamejazana hapo mpaka na dua zinapigwa.

Viongozi wa dini wanafata watu wenye pesa na mafanikio, leo subiri uwe tajiri utawaona wanavokuja kwako hoo sijui silimu, sijui okoka, sijui sali sana, sijui wewe, ili mradi tu. Huku makanisani na misikitini wenyemafanikio na matajiri uwezi kusikia wamenyooshewa mikono wala kuwajibishwa.

Mnakumbuka kile kisa cha bakwata kuuza eneo kumpa Yusuph Manji kaenda kuadabishwa maskini mponda.
lete andiko kutoka kwenye kitabu cha dini yako
 
"Nilishangaa kwa waislamu msaani domo dini yake iruhusu kuzaa bila ndoa ila ndio wamejazana hapo mpaka na dua zinapigwa"

Hapo ulikuwa unakusudia nini?
uisilam muongozo wake uko kwenye kitabu lete adiko hacha ujuaji
 
Mungu hakutuleta duniani kuja kuteseka. Alituleta kuja kutawala ila tatizo hatufuati manual aliyotupatia ili tuweze kutawala

Wewe ulshaona mtawala maskini???
 
Ukijaribu kupitia pitia dini zetu kiufupi zipo kwa ajili ya mafanikio na tajiri sio kwa maskini na mwenye matatizo.

Mafanikio na utajiri ndio yana kubeba kupitia dini viongozi wa dini watakuombea na kukubari kuja kwako ukilinganishana na maskini.

Nilishangaa kwa waislamu msaani domo dini yake iruhusu kuzaa bila ndoa ila ndio wamejazana hapo mpaka na dua zinapigwa.

Viongozi wa dini wanafata watu wenye pesa na mafanikio, leo subiri uwe tajiri utawaona wanavokuja kwako hoo sijui silimu, sijui okoka, sijui sali sana, sijui wewe, ili mradi tu. Huku makanisani na misikitini wenyemafanikio na matajiri uwezi kusikia wamenyooshewa mikono wala kuwajibishwa.

Mnakumbuka kile kisa cha bakwata kuuza eneo kumpa Yusuph Manji kaenda kuadabishwa maskini mponda.
sio kweli,kwani YESU mwenyewe alipokuwa duniani alikuwa hohehahe,ivi mlishaskia YESU akinunua kanzu mpya?,alivaa kanzu moja ujana wake wote,alikuwa anafanya kazi ya useremala,,unaambiwa ata kula kwake alikuwa anazamia kwenye nyumba za watu na kuomba msosi!!!,,,,,alichoka mpaka ili kupata pesa ya kununulia chakula alimwambia mfuasi wake mmoja ampasue samaki ndipo walipopata pesa za kununulia chakula tumboni mwa huyo fish!!!!......alikuwa amepigika mpaka mzee shetani akaiona fursa!! akamwambia bwana YESU amsjudu ili ampe mautajiri mazee,lakini braza YESU alichomoa papaa!!!!,,,,,upo??? YESU huyo huyo aliulizwa na kijana mmoja aliyekua mfanyabiashara tajiri sana!!! unaambiwa huyo chalii alikua fogo kinomanoma,,,huyo papaa akamuuliza BRAZA YESU!!,,,,,"nifanyeje ili niingie kwenye ufalme wa MUNGU?",,...braza YESU akamjibu,,,gawa mali zako kwa maskini unifuate weeee!!! jombaa kuambiwa ivo akachimba zake!!!!!..ndipo YESU lipotamka ivi "hakika tajiri kuuona ufalme wa MUNGU ni afadhali ngamia kuingia kwenye tundu la sindano"...upo?.....je ulishasikia kisa cha maskini lazaro na tajiri wewe jamaa?????........unaambiwa lazaro alipokua akiishi hapa duniani alikuwa maskini kuliko matoja chalii angu<<<<alikua akiishi mlangoni mwa tajiri akisubiri makombo waliyobakisha ndo yeye anajiapatia menu,,,wakati huohuo huyo tajiri alikuwa akiishi hapa duniani kama bill gate jombaa!! lakini walipodanji wakakutana kwa sirGOD,,lofa lazaro alikuwa kifuani mwa IBRAHIM akila bata mbinguni lakini tajiri alikua anakaangwa na moto kama fishi wa pale feri,,,basi unaambiwa tajiri alisikia kiu one day mpaka akamwomba lofa lazaro amdondoshee walao tone la maji apate faraja,lakini lazaro akamwambia,baina yako wewe na mimi kuna bonde ambalo hatuwezi onana,,,unacheki bhana....hiyo ni bible mazee!!! ukija kwenye quran tukufu,,,unaambiwa mtume MUHAMMAD nae alikuwa amepigika mpaka akawa kiben-ten kwa mama hadija ambaye alikuwa fogo kinomanoma chalii angu....so usipende kuandika bila kufanya utafiti...au umelamba K-VANT nini?
 
sio kweli,kwani YESU mwenyewe alipokuwa duniani alikuwa hohehahe,ivi mlishaskia YESU akinunua kanzu mpya?,alivaa kanzu moja ujana wake wote,alikuwa anafanya kazi ya useremala,,unaambiwa ata kula kwake alikuwa anazamia kwenye nyumba za watu na kuomba msosi!!!,,,,,alichoka mpaka ili kupata pesa ya kununulia chakula alimwambia mfuasi wake mmoja ampasue samaki ndipo walipopata pesa za kununulia chakula tumboni mwa huyo fish!!!!......alikuwa amepigika mpaka mzee shetani akaiona fursa!! akamwambia bwana YESU amsjudu ili ampe mautajiri mazee,lakini braza YESU alichomoa papaa!!!!,,,,,upo??? YESU huyo huyo aliulizwa na kijana mmoja aliyekua mfanyabiashara tajiri sana!!! unaambiwa huyo chalii alikua fogo kinomanoma,,,huyo papaa akamuuliza BRAZA YESU!!,,,,,"nifanyeje ili niingie kwenye ufalme wa MUNGU?",,...braza YESU akamjibu,,,gawa mali zako kwa maskini unifuate weeee!!! jombaa kuambiwa ivo akachimba zake!!!!!..ndipo YESU lipotamka ivi "hakika tajiri kuuona ufalme wa MUNGU ni afadhali ngamia kuingia kwenye tundu la sindano"...upo?.....je ulishasikia kisa cha maskini lazaro na tajiri wewe jamaa?????........unaambiwa lazaro alipokua akiishi hapa duniani alikuwa maskini kuliko matoja chalii angu<<<<alikua akiishi mlangoni mwa tajiri akisubiri makombo waliyobakisha ndo yeye anajiapatia menu,,,wakati huohuo huyo tajiri alikuwa akiishi hapa duniani kama bill gate jombaa!! lakini walipodanji wakakutana kwa sirGOD,,lofa lazaro alikuwa kifuani mwa IBRAHIM akila bata mbinguni lakini tajiri alikua anakaangwa na moto kama fishi wa pale feri,,,basi unaambiwa tajiri alisikia kiu one day mpaka akamwomba lofa lazaro amdondoshee walao tone la maji apate faraja,lakini lazaro akamwambia,baina yako wewe na mimi kuna bonde ambalo hatuwezi onana,,,unacheki bhana....hiyo ni bible mazee!!! ukija kwenye quran tukufu,,,unaambiwa mtume MUHAMMAD nae alikuwa amepigika mpaka akawa kiben-ten kwa mama hadija ambaye alikuwa fogo kinomanoma chalii angu....so usipende kuandika bila kufanya utafiti...au umelamba K-VANT nini?
ok''''''''so ndo ivo,,,,,ila kwa viongozi wa dini kudharau maskini na kujiependekeza kwa mapapaa....ilo uko sawa
 
Wenye elfu hamsini na kuendelea waje mbele...
Wenye elfu 10, 20, 30 wafwateeeee
Wenye alfu 5 nao
Wa alfu 3 naoo...
Haya wengine woteee mfwatee
 
Upendeleo kwa wenye nacho ni kukengeuka tu kwa viongozi wa dini (baadhi).

Hivyo usibaki "Kaka ya shetani" bali ushiriki kupambania mageuzi ndani ya dini.
 
Back
Top Bottom