Dini kubwa Tanzania hivi hakuna vipaji?

Dini kubwa Tanzania hivi hakuna vipaji?

willy ze great

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2013
Posts
1,071
Reaction score
1,303
Habari ndugu zangu kutokana na matokeo mabovu ya Taifa Stars inaenekana dini kubwa Tanzania tunashindwa kupambania taifa kwenye michezo hasa football.

Vilabu vya kariakoo vimejaza dini moja kwenye vikosi vyao mpaka watumishi wa hivo vilabu wanamlengo wa dini moja.

Hivyo kama mtanzania nayeipenda Taifa Stars nimeumia sana kutokujumuishwa kwa dini kubwa Tanzania kama msemo unavosema wengi wape lakin selection ya Taifa Stars inabase vilabu vya Kariakoo miaka nenda rudi lakini tunaambulia aibu kama taifa tu.

Naomba nitoe muongozo tujaribu kubalance pia dini kubwa tanzania na vilabu vya mikoani tuone matokeo kuna vilabu kama Mbeya City, JKT Tanzania; Biashara United

Asanteni
 
Nilikuwa najiuliza the same very question.

Lakini sina wasiwasi. Nilikuwa napitia orodha ya under 20 na 17, majina ya Kigalatia yapo mengi mno.

There's a promising future.
 
Hata vipaji vinawashinda. Nini wanaweza?
Kulewa na kucheza ngoma.

Mwenye kipaji aina yoyote ile habaki Tanzania. Kitamlipa nini?

Ukimuona Mtanzania ana kipaji, chochote kile, na yupo Tanzania, elewa kuwa huyo ni mcha Mungu.

Duniani vipaji vinasakwa kwa udi na uvumba.
 
Kulewa na kucheza ngoma.

Mernye kipaji aina yoyote ile habaki Tanzania. Kiytamlipa nini?

Ukimuona Mtaznania ana kipaji, chochote kile, na yupo Tanzania, elewa kuwa huyo ni mcha Mungu.

Duniani vipaji vinasakwa kwa udi na uvumba.
Umeandika kama mlevi.
Sisi hapa Tanzania tunataka kuona vipaji vyetu hapa hapa Tanzania na sio lazima waende nje ya nchi.
 
Back
Top Bottom