Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Inasikitisha sanaShida TFF inajua tu kuitwa taifa stars mpaka uwe simb na yanga huu upuuzi kabisa kuna wachezaji huko namungo, pamba jiji wanakipiga sana kwanini wasiitwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasikitisha sanaShida TFF inajua tu kuitwa taifa stars mpaka uwe simb na yanga huu upuuzi kabisa kuna wachezaji huko namungo, pamba jiji wanakipiga sana kwanini wasiitwe
Bangi tu, zikitoka kichwani ntafanya editing.Umeandika kama mlevi.
Sisi hapa Tanzania tunataka kuona vipaji vyetu hapa hapa Tanzania na sio lazima waende nje ya nchi.
Christopher Alex Massawe alimuachia nani mbege na Kvant?Masawe mbege na Kvant amwachie nani?
Mawazo mgandoHabari ndugu zangu kutokana na matokeo mabovu ya Taifa Stars inaenekana dini kubwa Tanzania tunashindwa kupambania taifa kwenye michezo hasa football.
Vilabu vya kariakoo vimejaza dini moja kwenye vikosi vyao mpaka watumishi wa hivo vilabu wanamlengo wa dini moja.
Hivyo kama mtanzania nayeipenda Taifa Stars nimeumia sana kutokujumuishwa kwa dini kubwa Tanzania kama msemo unavosema wengi wape lakin selection ya Taifa Stars inabase vilabu vya Kariakoo miaka nenda rudi lakini tunaambulia aibu kama taifa tu.
Naomba nitoe muongozo tujaribu kubalance pia dini kubwa tanzania na vilabu vya mikoani tuone matokeo kuna vilabu kama Mbeya City, JKT Tanzania; Biashara United
Asanteni
Huko hakuna wachezajiMasawe mbege na Kvant amwachie nani?
Sio soka tu, michezo na sanaa zote na kazi zisizohitaji kwenda darasani huko hamtatuona, maana watoto wetu tunajua ni heri kubet kwa kuwapeleka wakasome kuliko wakarukeruke viwanjani na majukwaani ambako ni mmoja tu kati ya 200 anaweza akatokaHabari ndugu zangu kutokana na matokeo mabovu ya Taifa Stars inaenekana dini kubwa Tanzania tunashindwa kupambania taifa kwenye michezo hasa football.
Vilabu vya kariakoo vimejaza dini moja kwenye vikosi vyao mpaka watumishi wa hivo vilabu wanamlengo wa dini moja.
Hivyo kama mtanzania nayeipenda Taifa Stars nimeumia sana kutokujumuishwa kwa dini kubwa Tanzania kama msemo unavosema wengi wape lakin selection ya Taifa Stars inabase vilabu vya Kariakoo miaka nenda rudi lakini tunaambulia aibu kama taifa tu.
Naomba nitoe muongozo tujaribu kubalance pia dini kubwa tanzania na vilabu vya mikoani tuone matokeo kuna vilabu kama Mbeya City, JKT Tanzania; Biashara United
Asanteni