Dini kubwa Tanzania hivi hakuna vipaji?

Mawazo mgando
 
Sio soka tu, michezo na sanaa zote na kazi zisizohitaji kwenda darasani huko hamtatuona, maana watoto wetu tunajua ni heri kubet kwa kuwapeleka wakasome kuliko wakarukeruke viwanjani na majukwaani ambako ni mmoja tu kati ya 200 anaweza akatoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…