Dini kuu mbili zote ziko katika mfungo, wanaojaza sehemu za starehe ni kina nani?

Dini kuu mbili zote ziko katika mfungo, wanaojaza sehemu za starehe ni kina nani?

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
Inawezekanaje kua Kwaresma na Ramadhani vimekutana lakini maeneo ya starehe mambo yako kama kawaida, hii inaleta tafsiri gani?
 
Watu wanajifanya wamemzoea Mungu Sana siku hizi.

Huku ninako kaa kuna DJ mmoja mpuuzi anafanya mixing usiku kucha na sijui kama ataenda mbinguni,maana Yule aliyeimbwa na Dulla makabila alikuwa anapiga mchana na wkt WA swala anazima mziki akaingia peponi,sasa huyu anapiga watu wakiwa wamepumzika tena kipindi cha kwaresma na ramadhani,sijui kama atatoboa!
 
Watu wanajifanya wamemzoea Mungu Sana siku hizi.

Huku ninako kaa kuna DJ mmoja mpuuzi anafanya mixing usiku kucha na sijui kama ataenda mbinguni,maana Yule aliyeimbwa na Dulla makabila alikuwa anapiga mchana na wkt WA swala anazima mziki akaingia peponi,sasa huyu anapiga watu wakiwa wamepumzika tena kipindi cha kwaresma na ramadhani,sijui kama atatoboa!
We DJ pita huku...
 
Wale ni double standard, wako kotekote, kwenye dini zao wapo na nje ya dini zao wapo. Kumekuwa na chotara wa dini wengi sana, wanageresha kwenye dini ili wakifa wazikwe kwa heshima na taratibu za mazishi za dini zao. Ni wanafiki wa kiwango cha juu
 
Inawezekanaje kua Kwaresma na Ramadhani vimekutana lakini maeneo ya starehe mambo yako kama kawaida, hii inaleta tafsiri gani?
Wapagani na wenye dini nyinginezo nje ya dini za mzungu na mwarabu
 
Back
Top Bottom