Dini......kuuwa ni dhambi
Wanasiasa wanauwa......lazima kukemea
Dini tupendane
Wanasiasa wanaeneza chuki na migawanyiko, lazima wakemewe maana wanaangamiza Taifa
Dini tusiwe waongo, wachonganishi
Wanasiasa waongo, wachonganishi, lazima wakemewe waache uowongo, fitina na ubaradhuli
Dini ni watchman kuhakikisha siasa inakuwa kwa manufaa na faida kwa Taifa
Ndio maana Desmond tutu akiwa askofu alifanya kazi kubwa kukemea uovu enzi za ubaguzi wa rangi south Africa
Wanasiasa wanauwa......lazima kukemea
Dini tupendane
Wanasiasa wanaeneza chuki na migawanyiko, lazima wakemewe maana wanaangamiza Taifa
Dini tusiwe waongo, wachonganishi
Wanasiasa waongo, wachonganishi, lazima wakemewe waache uowongo, fitina na ubaradhuli
Dini ni watchman kuhakikisha siasa inakuwa kwa manufaa na faida kwa Taifa
Ndio maana Desmond tutu akiwa askofu alifanya kazi kubwa kukemea uovu enzi za ubaguzi wa rangi south Africa