Muhali gani mabibi na mabwana!Mie mzima wa mwili ila mgonjwa kifkra.Nilibahatika kupata elimu mpaka ya chuo kikuu,niliajiriwa ila niliacha kazi kutokana na matatizo ya kifamilia yalonitaka kurudi nyumbani. Nilifanikiwa kutatua matatizo hayo yalodumu kwa muda mrefu ktk familia yetu.Mara niliporudi mjini miezi mingi baadae nikatafuta kazi pasi kufanikiwa ndipo nikabadili maamuzi na kutaka kujiajiri.
Nilithubutu na imani yangu nitafika napoenda. NIMEKUTANA NA JIMAMA SINZA ktk mishemishe zangu za kijasiriamali na kuwa mteja wangu mzuri tu.Nilifurahi kupata mteja mwaminifu.Siku moja baada ya biashara yangu aliniuliza natumia pombe nikajibu hapana,sigara jibu ni hapana. Siku ilofuata akaniuliza starehe yangu ni ipi kwani anawajua vijana wa Udsm vyema ni watu wakujishetua, jibu langu ni kuwa na marafiki na kutumia muda mwingi chumbani kwangu kucheki muvi.
Taratibu mama kaanza vtuko,mara nimkute na kanga nyepesi,kauli nazo zimebadilika na juzi kanipa muv, mle ndani watu wanangonoka vbaya. Kanambia ukweli yeye anataka nn kwangu,tena anasema yeye ni mzima wa afya hata nikitaka kuthibitisha hilo nitafute hospitali nayoijua tukapime.
ANACHOKITAKA NIFANYE NAYE KINYUME CHA MAUMBILE na nikikubali hilo atanipatia sehemu ya tenda yake ya kusupply nyama kwenye hotel na hospital flani flani. Je nifanyeje na binafsi sitaki kufanya mapenzi nae japo biashara anayonieleza nimeanza kuona uzuri wake?
Nilithubutu na imani yangu nitafika napoenda. NIMEKUTANA NA JIMAMA SINZA ktk mishemishe zangu za kijasiriamali na kuwa mteja wangu mzuri tu.Nilifurahi kupata mteja mwaminifu.Siku moja baada ya biashara yangu aliniuliza natumia pombe nikajibu hapana,sigara jibu ni hapana. Siku ilofuata akaniuliza starehe yangu ni ipi kwani anawajua vijana wa Udsm vyema ni watu wakujishetua, jibu langu ni kuwa na marafiki na kutumia muda mwingi chumbani kwangu kucheki muvi.
Taratibu mama kaanza vtuko,mara nimkute na kanga nyepesi,kauli nazo zimebadilika na juzi kanipa muv, mle ndani watu wanangonoka vbaya. Kanambia ukweli yeye anataka nn kwangu,tena anasema yeye ni mzima wa afya hata nikitaka kuthibitisha hilo nitafute hospitali nayoijua tukapime.
ANACHOKITAKA NIFANYE NAYE KINYUME CHA MAUMBILE na nikikubali hilo atanipatia sehemu ya tenda yake ya kusupply nyama kwenye hotel na hospital flani flani. Je nifanyeje na binafsi sitaki kufanya mapenzi nae japo biashara anayonieleza nimeanza kuona uzuri wake?