Dini yetu ndiyo ya kwanza, Tunaheshimu Sanamu-hatu-abudu sanamu!

Dini yetu ndiyo ya kwanza, Tunaheshimu Sanamu-hatu-abudu sanamu!

Point yangu ni kuwa kuheshimu siyo kuabudu..!! Na ndiyo maana nikamuuliza, kama babaake au mamaake anamuheshimu au anamuabudu..!! Sikuwa namlinganisha babaake na sanamu ya babaake..!!
Kwenye lugha ya Kiswahili unaweza usipate maana kamili kwasababu lugha ya kiswahili haijitoshelezi baadhi ya maneno ila ukisoma Biblia kwa kiingereza ndio unaweza kupata maana kamili.
Kiingereza kuna haya maneno👇
-Worship
-Venerate
-Adore
-Revere

Maofisi yote ya serikali ni lazima picha ya Kiongozi wa nchi ukutani ,ulipotokea msiba wa Mwalimu Nyerere khanga na vitenge vyenye picha ya Nyerere zilivaliwa sana na wakinamama hii yote ni kuonesha "veneration/respect" na sio kuabudu (worship)
 
Lakini sisi wakatoliki tunaziabudu sanamu ZETU, Kuna gorota linapowekwa sanamu la bikira Maria Huwa tunaenda kusali nakuomba hapo,pia ule msalaba unakuwa sanamu ya Yesu tunausujudia, kifupi Wakatoliki huo ndio utamaduni wetu
 
Point yangu ni kuwa kuheshimu siyo kuabudu..!! Na ndiyo maana nikamuuliza, kama babaake au mamaake anamuheshimu au anamuabudu..!! Sikuwa namlinganisha babaake na sanamu ya babaake..!!
Vyema kabisa, labda tumuache Covax , Wewe unaheshimu lile sanamu la Askari Monument pale Posta-Dar es salaam?
Wewe unaheshimu lile limdoli linalovalishwa chupi pale sinza?
Wewe, unaheshimu
Lakini sisi wakatoliki tunaziabudu sanamu ZETU, Kuna gorota linapowekwa sanamu la bikira Maria Huwa tunaenda kusali nakuomba hapo,pia ule msalaba unakuwa sanamu ya Yesu tunausujudia, kifupi Wakatoliki huo ndio utamaduni wetu
Hakuna mkatoliki anayeabudu Sanamu, Wakatoliki wanachonga sanamu na wana-ziheshimu tu.
 
Hii verse ilitengenezwa na wazungu Kwa mikakati ya kuharibu Dini za mababu zetu, wao walifikiri kwamba wazee wetu walikuwa Wana abudu miti na vitu vingine.

Ukweli ni kwamba, hizo sehemu zilikuwa ni sehemu za makutanio kama vile tunavyo kutana kanisani au misikitini.

Mwisho: Usichukulie Dini serious Sana, Wewe tambua tu Mungu yupo, hayo mengine siyo ya muhimu.
 
Back
Top Bottom